Je Wewe Mwanamke Usamehewe mara ngapi?

Je Wewe Mwanamke Usamehewe mara ngapi?

Ewe mwananmke, umekutwa na mwanaume mwingine ndani ya kitanda cha mumewe, ukasamehewa, umekutwa ukifua nguo za ndani za mwanaume mwingine ilihali umeolewa, ukasamehewa, umekuwa ukilala siku kadhaa nje ingawa una ndoa yako, ukasamehewa, umekamatwa na maujumbe ya mapenzi toka kwa bwana mwingine, ukasamehewa, umetubu ulikuwa unajiuza kabla ya kuolewa hivyo wakati mwingine huwa unajikumbushia maana ulifanya hivyo kwa minajili yako sio kwa ajili ya hela, ukasamehewa maana umethibitisha kuacha, umedanganya umeacha kujiuza hivyo umepata kazi nyingine mchana kumbe ni shifti ya mchana kazi ile ile ya kujiuza, JE SWALI ni kama mia mara saba ukisamehe na bado huyu mwanamke anaendelea tu kugawa zaidi ya PIPI na kuja kulia na kuomba msamaha kila siku na kusamehewa, je HUYU ni shetani alievaa NGOZI ya MALAIKA lakini ndani ni SHETANI asiefaa?, Je kweli kama sala za mmewe aombae kila mara ili hili pepo limwonde litaondoka? Jamani ni KILIO CHA RAFIKI YANGU, yaweza onekana ni NI HADITHI LAKINI NI UKWELI na mimi nimeushudia...Je mshikaji asaidiweje jamani?

hiyo mshkaji yenu itaftieni jinsia nyengine aisee, haijakamilisha masharti ya kuitwa "mwanaume".
 
Huyo jamaa mgonjwa wa akili si bure...
Au kama si mgonjwa wa akili basi kuna siri ambayo wanaijua wawili tu yaani yeye na mkewe. Na mama kamtisha kuwa akimwacha tu basi lazima amuumbue (hisia zangu zinanituma kuwa jamaa hafanyi kazi kabisa na anaogopa watu kujua hilo)..
 
Huyo jamaa mgonjwa wa akili si bure...
Au kama si mgonjwa wa akili basi kuna siri ambayo wanaijua wawili tu yaani yeye na mkewe. Na mama kamtisha kuwa akimwacha tu basi lazima amuumbue (hisia zangu zinanituma kuwa jamaa hafanyi kazi kabisa na anaogopa watu kujua hilo)..

Mkuu inamaana jamaa angu yaweza kuwa Bwabwa eeeeehhhh...umewaza kweli wewe maana hata mie nimeshindwa sasa, leo nimekutana na demu anacheka tu kama ana ugonjwa nicheke nyege....
 

Sasa hiyo misamaha ni to much naona hata inakera hakuna haja ya kumsamehe mtu asiye majali na kumlinda ukweli magonjwa sasa ni mengi kama ataendelea kusamehe hakika ataishia kwenye majuto.

Bibilia inasema mwanamke ndie wa kumlinda mwanaume sasa hiyo awe tofauti msahuri achukue uamuzi mapema.




“ Bwana ameumba jambo jipya duniani, mwanamke atamlinda mwanaume.” (Yeremia 31)
 

Sasa hiyo misamaha ni to much naona hata inakera hakuna haja ya kumsamehe mtu asiye majali na kumlinda ukweli magonjwa sasa ni mengi kama ataendelea kusamehe hakika ataishia kwenye majuto.

Bibilia inasema mwanamke ndie wa kumlinda mwanaume sasa hiyo awe tofauti msahuri achukue uamuzi mapema.




" Bwana ameumba jambo jipya duniani, mwanamke atamlinda mwanaume." (Yeremia 31)

Uamuzi mkuu ni kufinga tu huyu demu hafai....jamaa anaogopa eti YALIYOFUNGANISHWA NA MUNGU MWANADAMU HAWEZI YATENGANISHA........
 
Wajameni afrodenzi nimekuchakachua lini ? kauli kama hizi zinampandisha presha cheusi wangu lol! hii stori hujaisoma vizuri huyu bibie alikuwa taxi bubu na jamaa alijua hivo na kuridhika kumuoa sasa sijui analalamika nini si anakumbushia enzi zake ?

hahahaha lol..
usijali mi na Cheusi tushaongea lol
nway unajua saa nyingine saa nyingine mtu anaweza kumpenda mtu na wengine wakawa wanashagaa anapenda nini..
.. labda walivyokutana mara ya kwanza alidhani anaweza kumerekebisha..
lakini sasa kimekulia kwake..
lakini hatahivyo ninaamini kila mtu anaweza kubadilika ..
huyu dada akipatiwa treatment, therapy, prayers na akae kwenye rehabilitation center ......
na kwambia atarudi kama Masister wa cathilic church...
au vipi......:whoo:
 
Dada asante kwa ushauri mie naposema hapa sio TZ ndugu yangu ni out of TZ...leo basi mwenyewe nimeenda kwao ila jamaa yangu hakuwepo lkn makubwa huyu dada ananikenulia meno utadhani SIMBA kaona swala, sijui alitaka na mimi kunichakachua? Ikabidi nitoke kabla ya muda na unajua tena baridi kwa sasa nikaacha CHAI yangu kisingizio rafiki yangu ananiita.......mi naona ana pepo la ngono au hapati dozi stahimili...

duuuuhh pole sana ..
na we ungetafunwa mzima mzima hahah lol
hahahahah lol umenichekesha hapo kwenye Dozi..
mtu kama ni sex addict dozi we mpe mara 10 kwenye masaa 12 na bado hatosheki...
na kitu kingine kibaya kuhusu sex addict wanaweza kujiumiza wenyewe na wengine (especial anaishi nao)
kuumiza i mean physical and mental.....
kama ameshafika kwenye hiyo hatua huyu anahitaji msaada wa haraka ..
na kama anaishi sehemu amayo msaada uapatika kwanini msinpeleke huko mapema??
najua kama mtu ni addict wa kitu ni ngumu sana kuacha ..
lakini mkianza kum treat mapema itasaidia..
lol samahani kwa hii barua ...
 
duuuuhh pole sana ..
na we ungetafunwa mzima mzima hahah lol
hahahahah lol umenichekesha hapo kwenye Dozi..
mtu kama ni sex addict dozi we mpe mara 10 kwenye masaa 12 na bado hatosheki...
na kitu kingine kibaya kuhusu sex addict wanaweza kujiumiza wenyewe na wengine (especial anaishi nao)
kuumiza i mean physical and mental.....
kama ameshafika kwenye hiyo hatua huyu anahitaji msaada wa haraka ..
na kama anaishi sehemu amayo msaada uapatika kwanini msinpeleke huko mapema??
najua kama mtu ni addict wa kitu ni ngumu sana kuacha ..
lakini mkianza kum treat mapema itasaidia..
lol samahani kwa hii barua ...

Jana kazi uliyonituma Haswa imefanyika bila makosa yoyote, mtu aliiona elnino ya uchakachuaji na sio rasharsaha, all weather dozi nilimpa, mwishowe akanipa asante kwa msaada wangu sasa sijui inakuwaje mpaka akanipa asante....Sijui dozi ilimkolea au?
 
hahahaha lol..
usijali mi na Cheusi tushaongea lol
nway unajua saa nyingine saa nyingine mtu anaweza kumpenda mtu na wengine wakawa wanashagaa anapenda nini..
.. labda walivyokutana mara ya kwanza alidhani anaweza kumerekebisha..
lakini sasa kimekulia kwake..
lakini hatahivyo ninaamini kila mtu anaweza kubadilika ..
huyu dada akipatiwa treatment, therapy, prayers na akae kwenye rehabilitation center ......
na kwambia atarudi kama Masister wa cathilic church...
au vipi......:whoo:

Huyu hata akipelekwa therapy haitasaidia wahudumu wote wa clinic atawalambisha asali,niliomba ufunge shati vipi mbona bado ? posts 2000 mwezi 1 unakimbilia wapi binti mtundu weye ?
 
Kaka hamia kwangu ntakutunza kama toto ndogo. Mimi dadako niko pekangu hapa Masaki
 
Huyu hata akipelekwa therapy haitasaidia wahudumu wote wa clinic atawalambisha asali,niliomba ufunge shati vipi mbona bado ? posts 2000 mwezi 1 unakimbilia wapi binti mtundu weye ?

hahahah lol mi nauha kaki atasaidika tu ...
wahudumu wote wa kike..
ye sianataka ndizi sisi tunampa parachichi hahahaah lol
hapo hamu ya kula itatoka lol'''
kuhusu shati mmmmhh ntafunga x-mass lakini kwa sasa ..
mama na bab hawako nyumabini hahah lol...
kuhusu poster hata sijaanza kuzituma..
but thank u so much for recognizing
 
Jana kazi uliyonituma Haswa imefanyika bila makosa yoyote, mtu aliiona elnino ya uchakachuaji na sio rasharsaha, all weather dozi nilimpa, mwishowe akanipa asante kwa msaada wangu sasa sijui inakuwaje mpaka akanipa asante....Sijui dozi ilimkolea au?

duuuuhhh we hatari mtu anataka kuacha kuvuta sigara we ndo unamnunulia kwa zawadi lol?????
 
Ewe mwananmke, umekutwa na mwanaume mwingine ndani ya kitanda cha mumewe, ukasamehewa, umekutwa ukifua nguo za ndani za mwanaume mwingine ilihali umeolewa, ukasamehewa, umekuwa ukilala siku kadhaa nje ingawa una ndoa yako, ukasamehewa, umekamatwa na maujumbe ya mapenzi toka kwa bwana mwingine, ukasamehewa, umetubu ulikuwa unajiuza kabla ya kuolewa hivyo wakati mwingine huwa unajikumbushia maana ulifanya hivyo kwa minajili yako sio kwa ajili ya hela, ukasamehewa maana umethibitisha kuacha, umedanganya umeacha kujiuza hivyo umepata kazi nyingine mchana kumbe ni shifti ya mchana kazi ile ile ya kujiuza, JE SWALI ni kama mia mara saba ukisamehe na bado huyu mwanamke anaendelea tu kugawa zaidi ya PIPI na kuja kulia na kuomba msamaha kila siku na kusamehewa, je HUYU ni shetani alievaa NGOZI ya MALAIKA lakini ndani ni SHETANI asiefaa?, Je kweli kama sala za mmewe aombae kila mara ili hili pepo limwonde litaondoka? Jamani ni KILIO CHA RAFIKI YANGU, yaweza onekana ni NI HADITHI LAKINI NI UKWELI na mimi nimeushudia...Je mshikaji asaidiweje jamani?

Hali itakuwaje mambo yakiwa kinyume chake??????????? , hebu sikiliza wimbo huu

 
Last edited by a moderator:
duuuuhhh we hatari mtu anataka kuacha kuvuta sigara we ndo unamnunulia kwa zawadi lol?????

Jamani au ulikuwa unatania ndugu yangu, mie sitanii jana dozi mulua nilitoa, kama mtoto akilia wembe si unampa tu?Alitaka dozi kapata kwa raha zake....days go forward........uchakachuaji ulienda sawa kabisa na NEC hawakushirikishwa maana mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhh
 
Jamani au ulikuwa unatania ndugu yangu, mie sitanii jana dozi mulua nilitoa, kama mtoto akilia wembe si unampa tu?Alitaka dozi kapata kwa raha zake....days go forward........uchakachuaji ulienda sawa kabisa na NEC hawakushirikishwa maana mmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhh

mmmmmmhhh ngaja nikanye drip ya damu halafu ntarudi na nguvu mpya..
maana umenimaliza kabisa.....lol
 
mmmmmmhhh ngaja nikanye drip ya damu halafu ntarudi na nguvu mpya..
maana umenimaliza kabisa.....lol

Napouliza nilimaanisha kweli na maushauri yenu kama kawa yanafanyiwa kazi na practical juu...Katiba mpya hapa sio ile ya 50years back...hii dynamic KATIBA changes depends on what they advice...
 
Back
Top Bottom