JE wewe ni MJASIRIAMALI na huna njia ya kujulisha wateja wako POPOTE walipo Tanzania? MUST READ!...

JE wewe ni MJASIRIAMALI na huna njia ya kujulisha wateja wako POPOTE walipo Tanzania? MUST READ!...

Chalz

Member
Joined
Jun 30, 2012
Posts
19
Reaction score
4
Wajasiriamali katika sekta zifuatazo inawahusu!.....
Elimu
Mashirika ya kitalii
Mashirika yasio ya kiserikali (NGOS) na yakiserikali
Biashara ya hotel
Biashara ya maua na miti
Biashara ya samani (furnitures)
Super markets, pharmacy
Maduka ya nguo za fashen mbalimbali
Kampuni mbalimbali.
Watu binafsi nk...

Wajasiriamali tajwa hapo juu wanahitaji kuwa na online profile inayokuwa na maelezo kwa kifupi kuhusu biashara wanazofanya, bidhaa walizonazo, zilizopo na zinazo tarajiwa kuwepo, mawasiliano yao, account ya e-mail (barua pepe) ya kibiashara na binafsi, ramani ilipo ofisi/taasisi/kampuni na form ya kumwezesha mteja kuweka order online. Kupitia hii njia utafahamika kirahisi na kumrahisishia mteja wako kupata huduma.

Nyongeza Kwa upande wa taasisi za elimu wanahitaji online application form ambazo mteja anaweza download akiwa popote pale, online system ambazo zinatunza kumbukumbu za wanafunzi, taarifa za malipo ya ada, matokeo ya mitihani mbalimbali!.

Wasiliana nasi kwa huduma za kutengenezewa wavuti itakayokutambulishaTanzania/Afrika Mashariki na dunia nzima na inayoendana na biashara yako.

Bei zetu ni rafiki. Piga simu namba +255765531495/+255718152922
 
website iliyokamilika ( design, registration & hosting) ni tsh 450,000/=
 
kwa kipindi hiki tulichonacho hiyo ni muhimu,... swali je ni kwa jinsi gani kwa mtu asiye na uwezo wa kutumia online ads.,bizness onlin. etc hasa kwa mtu wa sub-rural...?
 
Nimekusoma mtoa thread .... safi sana nitakutafuta
 
Back
Top Bottom