Jovvan
JF-Expert Member
- Mar 6, 2018
- 294
- 460
SawaaaaHamna mkuu; kama ni hiko tu naweza adjust mambo kdgo ili mradi kwengine unakidhi; ili mradi uwe na akili ya maisha....@mtafutaji
Ni kweli mkuu:::::
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SawaaaaHamna mkuu; kama ni hiko tu naweza adjust mambo kdgo ili mradi kwengine unakidhi; ili mradi uwe na akili ya maisha....@mtafutaji
Ni kweli mkuu:::::
karibu mkuuSawaaaa
Nmekaribia mkuukaribu mkuu
Mkuu punguza udomo zege basi yaan mtoto kashakujibu sawaaa tena kwa madeko kabisa badala ya kufanya manjonjo unaishia kusema karibu mkuu.karibu mkuu
Nahitaji mtu alikizi vigezo na Ana nia mkuu; ambayo hayupo interested mwache Andelee kula maishaMkuu punguza udomo zege basi yaan mtoto kashakujibu sawaaa tena kwa madeko kabisa badala ya kufanya manjonjo unaishia kusema karibu mkuu.
Hahahahah sitawafanyia interview mkuu; ila mwenye tabia zinazokaribia na vigezo atachukuliwa mkuuUwaite kabisa kwa interview
Kila changamoto inawezezekana kuishinda...kusubiri kunaweza kuchelewesha mengiMmmh miaka 25???? ....kula kwanza ujana ....ndoa ya hivi inakuaga na balaa kweli kweli hapo kati
asante mkuu kila penye nia pana njiaKila la kheri upate mwenye nia ya dhati
Kwenye maisha hakuna kuwahi/kuchelewa ila muhimu kuwahi mambo ya kuitwa babu na wttt sitakiMmmh miaka 25???? ....kula kwanza ujana ....ndoa ya hivi inakuaga na balaa kweli kweli hapo kati
Karibu shule siumemaliza??😎haya ngoja nije na miaka yangu 15[emoji188][emoji188]
We jamaa una tatizo moja tu, mtoto kashasema nakuja wewe unaanza kuulza kama kamaliza shule.Karibu shule siumemaliza??😎
Ni sawa ila nahitaji pia anAyehitajiWe jamaa una tatizo moja tu, mtoto kashasema nakuja wewe unaanza kuulza kama kamaliza shule.
Kama haikuhusu pita kule[emoji23][emoji23][emoji23]napita tu wakuu.
Poa poa mkuu; msafara wa mamba kenge hawezi kosa nitakupasiaMwenye 40+ akijitokeza huko pm , naomba unipasie mkuu
Asante kwa kuchangiaPoapoa