Je, Wewe ni mzaliwa wa ngapi? Ona majukumu na wajibu wako

Inamaana unakua na imei mbili....!!! Kama tcra inafungia simu fake basi na wewe utafungiwa mbinguni
Lakini hizi ndoa za mitara hata kina mfalme Suleiman siwalikuwa nazo ila inachanganya unaweza kuingilia mlango wa kutokea
 
Naomba kujua ikiwa huyu mzaliwa wa kwanza hakuzaliwa ndani ya ndoa
 
aiseee mm ni wa kwanza kweli aloo daaa! ila kaaazi kweli
 
Haya maneno bhana ndo tunasikiaga kanisani, maneno ya faraja na kutia moyo kweli lakini ukitoka hapo ukata unakusakama kwelikweli, dah me sielewagi haya mambo, anyway me nina sifa ya tatu na nne ngoja nipambane!
 

Haya mnayofanya ni kupiga ramli tu...na vifungu mnavyoambatanisha kubeba mnayoyabashiri ni kutupoteza tu...umeishia kumi tu wakati binaadamu anaweza zaa watoto wengi mno?...

Yaani kua na small size kama hii ku justify ujinga uliowaza kichwani mwako na kuchukua vifungu unavyoona vitasapoti ramli yako ni madness beyond me

Hoja yako umegeuka kua haramu tu pale ulipoishia 10...finiteness ya namba ndio tulisubiri ukwamie tu hapo,na imeonesha hoja yako ilivyo totally full of air.

Kila mtu anaetaka kusapoti hoja yake kwa vifungu vya biblia ni most definitely ana low IQ,hii ni true na ni backed up na intensive research...penda kutumia proven scientific research results published ku back up hoja zako

Kwanza biblia ni irrelevant kwenye public domain kama hii,labda ungetoa angalizo unaongea exlusively na "wakristo"
 
wewe ni fremason bila shaka
 
Haijalishi dini makala hii, inajalisha nafasi ya uzao wako
 
Hii inahusu pia watoto wa kike? Maana enzi Biblia inaandikwa wazaliwa wa kike hawakuwa wakihesabiwa
 
Umetoa wapi hii mambo yako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…