billionea alpha
JF-Expert Member
- Apr 10, 2014
- 1,443
- 1,656
Uzaliwa wa kwanza mzigo.
Huyu ni msaliti kama alivy0kuwa Yuda Iskariota!Je Wa kumi na mbili?
Mkuu umenichekesha sana!!!!!!Inamaana unakua na imei mbili....!!! Kama tcra inafungia simu fake basi na wewe utafungiwa mbinguni
Mimi ni wa 4 kwa mama na wa 9 kwa baba. Lakini baba ameniachia mimi majukumu ya kuilea familia!. Hapa inakuaje kwa utafutaj wangu wa riziki kuitafutia familia?.
Hahahahauna sifa za mtoto wa kwanza na mtoto wa Tano.
[emoji23]Malaya wa 43?
View attachment 366272 just a joke
Aaah aah wewe jamanHapo kazi ipo wengine ni wa pili kwa mama lakini wa tano kwa baba inakuwaje hapo