Je, Wewe ni mzaliwa wa ngapi? Ona majukumu na wajibu wako

kuna ukwel hapa
 
Kuna hatari kubwa sana Mtoto wa Kwanza asipo jitambua kwamba yeye ni lango la kupitisha vitu vizuri na vibaya kwenye familia.Mfano kuna ta ia akiwa nayo wadogo zake wataiga au kwa maana nyingine watarithi. Ndio manake kuna familia wakazi wakielewa hili jambo wanaenda nao sambamba kuhakikisha hizi tunu azipotei.
 
asante kwa kuunyemelea mlango wa wajuzi wa ufahamu JF
 
huu uzi utafanya population ikue maana kuna watu wanapenda sifa watazaa wtt wengi coz wanataka watoto wa kila aina za tabia
 
Ukiachia mzaliwa wa kwanza ambapo umeweka reference ya biblia, mengine umeyatoa wapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…