Kwanza, ikiwa umeisoma rasimu YOTE (na siyo sehemu, wala kurukaruka), naomba uanze kwa kusema (andika) NDIYO. Baada ya hapo jaribu kueleza unaionaje.
Tatizo ni kwamba kuna uwezekano mkubwa kwamba tutakuwa tunajadili RASIMU hii na watu ambao hawajaisoma YOTE kwa utulivu na matokeo yake tunayafahamu.
Nimegundua watu wengi wanapenda kuongea sana lakini hawapendi KUSOMA na kufanya japo research ndogo, ili mchango wao utokane na utafiti japo mdogo.
Mbaya zaidi ni kwamba wengi hawaisomi kwa UVIVU TU, na siyo kwamba hawana muda!
MIMI NIMEISOMA RASIMU YOTE KWA UTULIVU NA NIMEJIFUNZA MAMBO MENGI MNO - na mojawapo ni kwamba jambo la kwanza la muhimu liwe ni KUISOMA RASIMU YOTE na siyo nusunusu!
Karibuni!
Tatizo ni kwamba kuna uwezekano mkubwa kwamba tutakuwa tunajadili RASIMU hii na watu ambao hawajaisoma YOTE kwa utulivu na matokeo yake tunayafahamu.
Nimegundua watu wengi wanapenda kuongea sana lakini hawapendi KUSOMA na kufanya japo research ndogo, ili mchango wao utokane na utafiti japo mdogo.
Mbaya zaidi ni kwamba wengi hawaisomi kwa UVIVU TU, na siyo kwamba hawana muda!
MIMI NIMEISOMA RASIMU YOTE KWA UTULIVU NA NIMEJIFUNZA MAMBO MENGI MNO - na mojawapo ni kwamba jambo la kwanza la muhimu liwe ni KUISOMA RASIMU YOTE na siyo nusunusu!
Karibuni!