Je, wewe unajivunia kuchaguliwa nguo na mwenza wako kwa ajili ya mtoko wa kila siku?

Je, wewe unajivunia kuchaguliwa nguo na mwenza wako kwa ajili ya mtoko wa kila siku?

Super women 2

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
5,164
Reaction score
6,540
boy-and-girl-in-shopping.jpg


Kuna haya mapenzi mubashara ya mume na mke. Au hata wapenzi, sanasana wale wanaokaa nyumba moja hupendelea kuchaguliana nguo ya kuvaa kwa ajili ya kazini, kusafiri, mitoko ya jioni.

Kuna wengine wanafurahia kuchaguliwa nguo na wengine hawapendi, na hao wanakuwa na sababu zao maalum Kwa mfano: mwanaume kazini kwao kuna msichana mgeni kaja afu ni kifaa haswa ili na yeye aonekane smart, atatafuta nguo ambayo akivaaga anasifiwaga sana.

Sasa akifikiria kuchaguliwa hawezi kukubali au anakutana na mwanamke alomhangaikia kwa mwaka mzima hapo humchagulii nguo mbaya kwa kweli .

Me mwanaume wangu anatabia tukitaka kutoka out anakwambia uvae nguo ambayo ni bwanga eti nisionekane shape hapo sasa me sikubali na safari inashia hapo

Wewe je?
 
Mimi nilishawahi kua na mwanaume alikua anapenda nivae gauni zile pana pana hivi au baibui yani nilivyokua navaa zile nafsi yake ilikua burudani na kizuri ni kwamba alikua mnunuaji mzuri wa hayo mavazi aliyokua anataka nivae ila alikua anatwanga maji kwenye kinu sababu hata nivae nini mambo bado yanaonekana tu.
 
Mie binafsi nah,Ila kuna mambo yanashangaza mno rafiki angu kaolewa alinipa story kila akivaa nguo asubuhi lazima mume amchagulie kufuli eti kufuli lenyewe shurti liwe baya au limelegea kisa na mkasa eti asimsaliti!wivu mwingine wa kifala mfyuuu et nayee anavaa chupi mpauko
 
Ina raha yake kumchagulia mwenzio nguo, ila kwa mwenye kujua kuchagua ndio awe mchaguzi.
Mie wangu kama sijamchagulia siku hiyo utamuona anavyohangaika humo ndani mpaka nicomment chochote ndio awe na amani.
Furaha yake ni pale akiskia namwambia hiyo sawa au hiyo hapana vua vaa hii basi atatoka na tabasamu la ukweli acha kabisa.
 
Mimi nlishawahi kua na mwanaume alikua anapenda nivae gauni zile pana pana hivi au baibui yani nilivyokua navaa zile nafsi yake ilikua burudani..na kizuri ni kwamba alikua mnunuaji mzuri wa hayo mavazi aliyokua anataka nivae ila alikua anatwanga maji kwenye kinu sababu hata nivae nini mambo bado yanaonekana tu...
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie binafsi nah,Ila kuna mambo yanashangaza mno rafiki angu kaolewa alinipa story kila akivaa nguo asubuhi lazima mume amchagulie kufuli eti kufuli lenyewe shurti liwe baya au limelegea kisa na mkasa eti asimsaliti!wivu mwingine wa kifala mfyuuu et nayee anavaa chupi mpauko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie binafsi nah,Ila kuna mambo yanashangaza mno rafiki angu kaolewa alinipa story kila akivaa nguo asubuhi lazima mume amchagulie kufuli eti kufuli lenyewe shurti liwe baya au limelegea kisa na mkasa eti asimsaliti!wivu mwingine wa kifala mfyuuu et nayee anavaa chupi mpauko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ghafla bin vuu. Kaanguka , wanaomuokota na kumsaidi wanakutana na chupi lililolegea.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ina raha yake kumchagulia mwenzio nguo, ila kwa mwenye kujua kuchagua ndio awe mchaguzi.
Mie wangu kama sijamchagulia siku hiyo utamuona anavyohangaika humo ndani mpaka nicomment chochote ndio awe na amani.
Furaha yake ni pale akiskia namwambia hiyo sawa au hiyo hapana vua vaa hii basi atatoka na tabasamu la ukweli acha kabisa.
Hongera
 
Back
Top Bottom