Je, wewe unajivunia kuchaguliwa nguo na mwenza wako kwa ajili ya mtoko wa kila siku?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ghafla bin vuu. Kaanguka , wanaomuokota na kumsaidi wanakutana na chupi lililolegea.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani ni aibu tubu,alafu kingine anampangia hadi akiwa njiani avae ninja sijui akija kazini ati asitongozwe! ila mumewe sasa ni muhuni mfano hamna! namuulizaga bibie ndoa ni utumwa eh maana kila unachofanya ni kwa niaba ya mume! haya mahaba niue ya hivi yanipitie pembeni kwa kweli unakua mtumwa wa binadamu mwenzio.
 
Huu uzi huu... Ni zaidi ya mambo ya wapenzi kuchaguliana mavazi.. Maana ajabu kila mdada humu asema ana msambwanda!
ha ha ha wengine flatscreen tuliangukaga bafuni,tukivaa dera zinakua kama kanzu teh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu uzi huu... Ni zaidi ya mambo ya wapenzi kuchaguliana mavazi.. Maana ajabu kila mdada humu asema ana msambwanda!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kasoro mimi tu.
We unao au huna??
 
Wanaume wenye wivu ni balaa kwa ukicheche
 
Hahahah sasa we usietaks fata maagizo ya mume utataka ufate ya nani? Au ujiendee unavyotaka tu
 
Sio kila agizo ni la kufuata kaka.Tunapaswa tuwe na kiasi kwa kila jambo.Kila mmoja akitambua mipaka kwa mwenza wake inapendeza zaidi.
Kiasi ni sawa, mambo ambayo sitakiwi kukuamuru juu ya kuyafanya ni yale yatayokusababishia uharibifu wa kimwili au kiakili ama yanayodhoofisha maendeleo. Vitu kama kukula ndogo hapo inabidi upinge, kukuvutisha bangi au madawa pia unapinga ni sahihi na lazima. Kufanya mambo ya anasa pia ww pinga.

Ila vitu minor vya kusikiliza mbona hamna haja ya kupinga mama. Mumeo ni kama baba yako ujue.
 
Hapo nakubaliana nawe kabisa ndio maana nimesema kwenye kila jambo kunatakiwa kuwa na KIASI" Sitegemei kuwa mkaidi kwenye mambo ambayo naona hayana ulazima wa mie kufanya na mwenzangu ashaniomba nisifanye!huwa nasikiliza ila isiwe too much!!
 
Hapo nakubaliana nawe kabisa ndio maana nimesema kwenye kila jambo kunatakiwa kuwa na KIASI" Sitegemei kuwa mkaidi kwenye mambo ambayo naona hayana ulazima wa mie kufanya na mwenzangu ashaniomba nisifanye!huwa nasikiliza ila isiwe too much!!
Yeah ofcourse challenges zipo. Kama mimi bibie hataki nivae tshirt na jeans na sneakers anaona nakuwa bishoo anataka nivae mashati, cadet na penny loafers
 
Mimi hapo hua ugomvi na mke wangu yeye akinichagulia huwa hakosei kimbembe mimi yeye anashape kama pipa na tumbo kubwa ni mnene kilo around tisini
Na mbili tako hana hivyo mimi humchagulia dela ili kuficha kasoro hizo yeye hutaka suruali na tshirt au kibode sijui ndo kitop mimi huwa nazira namwambia sitoki na wewe kwa staili hiyo napenda uvae kiheshima but me napenda sana mdada akivaa min skirt.or skin trouser lakni ndo hivyo tena shemeji yenu hivyo huwa ananuna njia nzima
 
Afanye mazoezi inaonekana unamuhonga Sana mpaka ameota kitambi
 
Eti.....!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…