Mziki umejaa wanafiki wanajifanya hawanijui,mashairi yangu ya kweli yananiletea uadui"maadui wenye sura ka kondoo roho za chui"-makundi yanavunjika wasanii wanafarakana,chuki imewatenga ndugu wanakosa zikana"pesa imepelekea watu kuuana"-marekani ndio imeleta imeleta ugaidi waislamu tukabebeshwa tena pasina ushahidi"dunia inaenda wapi naona ushoga unazidi"anglikana wanaooana haa kwa mungu laana,wanaume kwa wanaume ata khabari hawana"ufirauni uzayuni umewarubuni mmeacha kanuni,nikiwapa ukweli mnasema eti uhuni".kwenye ukweli wanasimamaga watu wachache sana hakuna aliekamilika wewee!