Kuna haja gani ya kupigana vita vya wenyewe kwa wenyewe kutiana ziki ya roho bure, na hata tuseme watu wamekubali kupigana hivyo vita fikra zako atakaeumia ni nani,ukichukuli mfano hizo nchi zinazipigana vita vya wenyewe kwa wenyewe hao "war lords" na famili zao vinawagusa?
Vita pigana na akili yako, ww ndo unaekubali kuwa chama cha Mapinduzi kidumu milele, ni wewe hutaki kuamini kuwa CCM imeshachoka na haina haja tena kuambiwa sababu unaziona mwenyewe kwa macho. Ni wewe unaetakiwa kupigana "civil war" na akili yako kuwa kuichagua CCM miaka mitano iliyopita hujapata chochote na njaa,ujinga na maradhi vimemuandama babu yako kabla ya uhuru, baba yako badala ya uhuru na ww mwenyewe mpaka leo bado unataka uletewe nabii aje akwambie "...umasikini unaufuga akilini mwako...", time has come for...kieleweke kuwa kuwepo na kutokuwapi CCM hakuna tofauti yoyote,labda kitakapokuwa hakipo inaweza kuwa afueni.