Je wewe unaswali kama hili??

Je wewe unaswali kama hili??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Je unampenda uliyenaeye??..........au unaendeleakumtafuta umpendae kwasasa??..........je utakuwa umemtendea haki huyo uliyenaye???.................au upokwake kwa sababu fulani?funguka......>>>>
 
Good!!!!!!!!!!!!!!! Binafsi nampenda sana niliyenaye sitafuti mwingine kabisaaaaaa ata aje kuwa namapungufu gani nitampenda sana sana kwani amenitoa mbali sana ,na ni mungu amenipa kwa lolote lile nitamiuuliza mungu kwanza. -bila kusahau kiapo changu cha kanisani .nakujali wajibu wangu nakuplay part yangu siku zote
 
Penda pale unapopapenda...c kwa sababu fulani unakaa n mtu tu,hata kama humpendi.Ni ngumu kujilazimisha kumpenda mtu.baadae utapata shida.Binafsi napenda pale napojisikia amani na napapenda.
 
Back
Top Bottom