Pettymagambo
JF-Expert Member
- Aug 21, 2017
- 1,490
- 8,227
Habari watu wa taifa tukufu linalotetewa na timu ya Simba pekee kimataifa kila mwaka!
Basi katika medali ya muziki hapa nchini na duniani kwaujumla ulishawahi kutokea kuupenda wimbo flani ulioimbwa nawasanii wawili au zaidi lakini hapohapo ukatamani wimbo huo ingependaza zaidi kama angeimba mmoja kati ya wasanii hawa?
Mfano mie kwenye wimbo wa Linex na Rayvan unaitwa waongo hao! Huu wimbo kama angeimba Linex pekeyake naona ingekua poa zaidi. Hebu tuambie nawewe upi wimbo unatamani angeimba mmoja tu ungenoga sana?
Basi katika medali ya muziki hapa nchini na duniani kwaujumla ulishawahi kutokea kuupenda wimbo flani ulioimbwa nawasanii wawili au zaidi lakini hapohapo ukatamani wimbo huo ingependaza zaidi kama angeimba mmoja kati ya wasanii hawa?
Mfano mie kwenye wimbo wa Linex na Rayvan unaitwa waongo hao! Huu wimbo kama angeimba Linex pekeyake naona ingekua poa zaidi. Hebu tuambie nawewe upi wimbo unatamani angeimba mmoja tu ungenoga sana?