Ninajiuliza swali hilo hapo juu kwani wizara ya elimu imesitisha ajira za wakufunzi? Kama imesitisha kwanini? je vyuo vya serikali walivyo vipendekeza kuto DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION vinawakufunzi wakutosha? wahusika kama mnampango wa kuwajengea watoto with stadi za kusoma,kuandika,na kuhesabu yaani(KKK) Mbona wataalamu wa taluma hiyo hamuwaajiri? Mabaliko hayaji kwa kupuuza bali kwakutenda ,ebu viongozi tuwe wazalendo wanchi yetu kwakujenga misingi bora ya elimu kwa watanzania waliowengi. Natumaini mtatekeleza.