iJamii
JF-Expert Member
- Jan 19, 2015
- 1,960
- 1,502
Ninaomba nikuulize maswali ya kiuchokonozi... Eti hivi baada ya UWEZO kushinda zile 100m...
Je, washindi wengine walioshinda kiasi hicho hicho baada yake ni wote wamegoma kutangazwa kwenye vyombo vya habari
..............................................................................................AU
Tuseme VODACOM wao ndio wameamua washindi hao wengine wawe wanapewa hizo 100m kimya kimya bila kutangazwa kwenye vyombo vya habari? ..............................................................................................AU
Hii ni ESCROW nyingine ambapo VODACOM wameitumia kuipa pesa za watanzania kwa kuchezesha michezo isiyokuwa na mshindi!!?
..............................................................................................AU
Labda washindi wanatangazwa na tatizo lipo kwangu sisikilizi vizuri habari zinazotolewa na vyombo vya habari.. Maana sio siri sijawahi kusikia hata hao washindi wa 1m na 10m wa kila siku toka shindano la JAY MILLIONARE lianze.
Je, washindi wengine walioshinda kiasi hicho hicho baada yake ni wote wamegoma kutangazwa kwenye vyombo vya habari
..............................................................................................AU
Tuseme VODACOM wao ndio wameamua washindi hao wengine wawe wanapewa hizo 100m kimya kimya bila kutangazwa kwenye vyombo vya habari? ..............................................................................................AU
Hii ni ESCROW nyingine ambapo VODACOM wameitumia kuipa pesa za watanzania kwa kuchezesha michezo isiyokuwa na mshindi!!?
..............................................................................................AU
Labda washindi wanatangazwa na tatizo lipo kwangu sisikilizi vizuri habari zinazotolewa na vyombo vya habari.. Maana sio siri sijawahi kusikia hata hao washindi wa 1m na 10m wa kila siku toka shindano la JAY MILLIONARE lianze.