Juzi kati hapa kocha Zahera alisema timu ya Yanga haikusajili kwa ajili ya mashindano ya kimataifa, hii kauli inaungwa mkono na baadhi ya mashabiki na viongozi wa Yanga.
Je, Yanga nyie kwa nini hamkusajili kwa ajili ya mashindano ya kimataifa wakati mlipewa taarifa mapema na CAF kupitia TFF kwa taarifa iliyotolewa na TFF tarehe 4 June 2019?
Je, ni wachezaji gani Yanga mliwasajili kabla ya Taarifa ya TFF kuhusu timu zitakazoshiriki mashindano ya CAF champion ya tarehe 4 June 2019 wakati Hata akina balinya, makame mliwatangaza siku ya kubwa kuliko iliyofanyika tarehe 15 June 2019?
Mwisho, Ni mchezaji yupi wa Yanga alisajiliwa na akatangazwa kabla ya tarehe 4 june 2019
Je, Yanga nyie kwa nini hamkusajili kwa ajili ya mashindano ya kimataifa wakati mlipewa taarifa mapema na CAF kupitia TFF kwa taarifa iliyotolewa na TFF tarehe 4 June 2019?
Je, ni wachezaji gani Yanga mliwasajili kabla ya Taarifa ya TFF kuhusu timu zitakazoshiriki mashindano ya CAF champion ya tarehe 4 June 2019 wakati Hata akina balinya, makame mliwatangaza siku ya kubwa kuliko iliyofanyika tarehe 15 June 2019?
Mwisho, Ni mchezaji yupi wa Yanga alisajiliwa na akatangazwa kabla ya tarehe 4 june 2019