KimbakaeKO
Member
- Jun 23, 2024
- 39
- 45
- Thread starter
-
- #41
Hahaaa.., Dini hamna mnafanya mila hili wengi wenu litawatia motoni kuanzia wazee wenu mpk vitukuu.Nyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?
Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
Kuna maswali mengi yameulizwa na wasiwasi kutokana na stori fupi niliyoandika. Nitatafuta ushahidi ili nije nao. Lakini pia nashukuru kwa kunipa changamoto zitanisaidia kupata ushahidi mbalimbali.Mwaka uliopita, Mama yangu alinihadithia kuhusu jambo liliomtokea Mjomba wangu.
Ni hivi wadau, Mjomba wangu alioa mwanamke wa zanzibar nae alikuwa anafanya kazi huko na akajenga nyumba pia na akapata bahati ya kupata watoto wawili kwa sas wapo elimu ya sekondari.
Baada ya muda kutokana na visa vya mwanamke huyo mjomba alikuwa akimueleza kwamba ukiendelea na hivi visa, nitakuacha.
Lakini jibu la wanamke alikuwa anamwambia mjomba kwamba utaondoka wewe hapa.
Baada ya muda waliachana kweli.
Mchakato ukanzia hapa.
Yule mke wake akaanza kwenda katika Mahakama na kwa Kadhi na baadae sheria ikasema ikiwa wewe ni kutoka bara ukajenga kule basi hauna haki ya umiliki wa nyumba kwa kuwa umezaa nae. Je, hizi sheria ndivyo zilivyo au kuna magumashi yamefanyika?
Na kama ndivyo hivi, hii nchi inafanya mambo tofauti bara na visiwani.
Mjomba alisarenda na kwenda kuishi kwa rafiki zake baada ya kutolewa na serikali ya huko.π₯π₯π₯π₯π‘π
Tufanye utafiti kwa post hii, unadhani watu hawajui namna ya kuandika content inayojitoshelezaUnataka tulete nakala za mahakama.
Ndg zngu fanyeni utafiti kwanza mgunrue hili jambo lipo?..
Kisha tuone nini cha kufanya kusaidia.
Mimi nilishaacha kununua vitu kwenye duka la waZanzibar. Kila nikisoma taarifa za huko nakuta ubaguzi mwingi na sisi tuishi kama wao.Mwaka uliopita, Mama yangu alinihadithia kuhusu jambo liliomtokea Mjomba wangu.
Ni hivi wadau, Mjomba wangu alioa mwanamke wa zanzibar nae alikuwa anafanya kazi huko na akajenga nyumba pia na akapata bahati ya kupata watoto wawili kwa sas wapo elimu ya sekondari.
Baada ya muda kutokana na visa vya mwanamke huyo mjomba alikuwa akimueleza kwamba ukiendelea na hivi visa, nitakuacha.
Lakini jibu la wanamke alikuwa anamwambia mjomba kwamba utaondoka wewe hapa.
Baada ya muda waliachana kweli.
Mchakato ukanzia hapa.
Yule mke wake akaanza kwenda katika Mahakama na kwa Kadhi na baadae sheria ikasema ikiwa wewe ni kutoka bara ukajenga kule basi hauna haki ya umiliki wa nyumba kwa kuwa umezaa nae. Je, hizi sheria ndivyo zilivyo au kuna magumashi yamefanyika?
Na kama ndivyo hivi, hii nchi inafanya mambo tofauti bara na visiwani.
Mjomba alisarenda na kwenda kuishi kwa rafiki zake baada ya kutolewa na serikali ya huko.π₯π₯π₯π₯π‘π
"Vichogo wa bara" umejumuisha watu wote wanaoishi bara bila ya kubagua dini. unajua kuwa kuna waislamu wanaishi bara? Sasa kukataa dadako asiolewe na muislamu wa bara labda unatumia dalili ipi ya kidini kukataza hilo? Ungeniwekea aya moja tu au hata hadith inayosapoti msimamo wenu .Nyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?
Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
Yani hapo ww ndo unakua na hatiaKuna mywa urojo mmoja huku nilicho mfanya hatasahau hadi siku anakufa japokua sio kitu kizuri lakini nilifurahia kulipiza kisasi kwa madhira wanayo wapa ndugu zetu
Sheria gani ya kipuuzi hiyo, siku 3 mtu anakosa huduma ya afya. π³π³
Kule hawaangalii vyeti au dokomenti, wanasikiliza tu huku wanaokula urojo.
Kuna mywa urojo mmoja huku nilicho mfanya hatasahau hadi siku anakufa japokua sio kitu kizuri lakini nilifurahia kulipiza kisasi kwa madhira wanayo wapa ndugu zetu
Sijali na wala sitojali upumbavu wao uishie kwao wakivuka maji wajue huku sio kwao wakiingia kwenye mfumo tunasema nao kama walivyo kujaYani hapo ww ndo unakua na hatia
Lakini unajiona mjanja.....
Haya mambo yanapaswa kukoma lakin ww ndo unazidisha moto.....
Kibaya zaidi umemhukumu ambae hajakufanya lolote......
Watakuja wazanzibari na wao wakuite ww ni dhuluma
Hapo unakua hujajenga, umebomoa
"Ni bora kujenga daraja kuliko ukuta"
Ref: Mrisho Mpoto
Ndio maana wazanzibar wanataka kitongoji chao, kumbe wenzetu huduma ya afya ni bure kwa 100% hongera na pongezi kwao.MKuu Zanzibar huduma ya Afya ni Bure 100% kwa wakaazi, kwenye vituo vya serikali. Ukiwa bado hujafikia mda wa kupata haki zote za ukaazi unatakiwa uchangie. Sasa mtu anapotaka kitonga alafu analilia lia ili iweje?
Kafiri mapembe , Azarel, amesilimu ?? na amekuwa Mzanzibari kuanzia lini ??"Vichogo wa bara" umejumuisha watu watoe wanaoishi bara bila ya kubagua dini. unajua kuwa kuna waislamu wanaishi bara? Sasa kukataa dadako asiolewe na muislamu wa bara labda unatumia dalili ipi ya kidini kukataza hilo? Ukiniwekea aya moja tu au hata hadith inayosapoti msimamo wenu .
Duh! Kumbe si muislamu ila anachochea ?Kafiri mapembe , Azarel, amesilimu ?? na amekuwa Mzanzibari kuanzia lini ??
Baada ya kuwa kwenye dini ya mwaarabu unajiona mjanja.πππππNyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?
Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
Bomoa na tingatinga kama mzee wa chuga ingependeza zaidi.Mwaka uliopita, Mama yangu alinihadithia kuhusu jambo liliomtokea Mjomba wangu.
Ni hivi wadau, Mjomba wangu alioa mwanamke wa zanzibar nae alikuwa anafanya kazi huko na akajenga nyumba pia na akapata bahati ya kupata watoto wawili kwa sas wapo elimu ya sekondari.
Baada ya muda kutokana na visa vya mwanamke huyo mjomba alikuwa akimueleza kwamba ukiendelea na hivi visa, nitakuacha.
Lakini jibu la wanamke alikuwa anamwambia mjomba kwamba utaondoka wewe hapa.
Baada ya muda waliachana kweli.
Mchakato ukanzia hapa.
Yule mke wake akaanza kwenda katika Mahakama na kwa Kadhi na baadae sheria ikasema ikiwa wewe ni kutoka bara ukajenga kule basi hauna haki ya umiliki wa nyumba kwa kuwa umezaa nae. Je, hizi sheria ndivyo zilivyo au kuna magumashi yamefanyika?
Na kama ndivyo hivi, hii nchi inafanya mambo tofauti bara na visiwani.
Mjomba alisarenda na kwenda kuishi kwa rafiki zake baada ya kutolewa na serikali ya huko.π₯π₯π₯π₯π‘π
#_AKILI_YAKO_HAINA_AKILODeen ya haq
'Madhira' gani hayo awayopewa ndugu zako? Na wewe unaamini maneno ya mtandaoni!!? Hivi Zanzibar kungekuwa na hayo the so called 'madhira' unafkiri wangeendelea kuja? Kwanza Zanzibar saivi hasa wazanzibari wanahesabika, tena karibu tu wageni watakuwa wengi kuwazidi wenyeji FYIKuna mywa urojo mmoja huku nilicho mfanya hatasahau hadi siku anakufa japokua sio kitu kizuri lakini nilifurahia kulipiza kisasi kwa madhira wanayo wapa ndugu zetu
Watanganyika waliofika kwenye kale kakisiwa hasa ambao waliishi changanyikeni ndio wanajua upumbavu wa wale watu na jinsi walivyo kua wabaguzi lakini kwakua wewe ni mmoja wao unaona ni sawa tuu, sasa na sisi tutaendelea kusema nao tuu jino kwa jino alieua auwawe'Madhira' gani hayo awayopewa ndugu zako? Na wewe unaamini maneno ya mtandaoni!!? Hivi Zanzibar kungekuwa na hayo the so called 'madhira' unafkiri wangeendelea kuja? Kwanza Zanzibar saivi hasa wazanzibari wanahesabika, tena karibu tu wageni watakuwa wengi kuwazidi wenyeji FYI