Je, Zanzibar ni Sauzi?

Je, Zanzibar ni Sauzi?

Nyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?

Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
Hahaaa.., Dini hamna mnafanya mila hili wengi wenu litawatia motoni kuanzia wazee wenu mpk vitukuu.
Kama mjafuata dini mnayoiamini basi tafuteni namna yakwenda kumjibu Allah.
 
Mwaka uliopita, Mama yangu alinihadithia kuhusu jambo liliomtokea Mjomba wangu.

Ni hivi wadau, Mjomba wangu alioa mwanamke wa zanzibar nae alikuwa anafanya kazi huko na akajenga nyumba pia na akapata bahati ya kupata watoto wawili kwa sas wapo elimu ya sekondari.

Baada ya muda kutokana na visa vya mwanamke huyo mjomba alikuwa akimueleza kwamba ukiendelea na hivi visa, nitakuacha.

Lakini jibu la wanamke alikuwa anamwambia mjomba kwamba utaondoka wewe hapa.

Baada ya muda waliachana kweli.

Mchakato ukanzia hapa.

Yule mke wake akaanza kwenda katika Mahakama na kwa Kadhi na baadae sheria ikasema ikiwa wewe ni kutoka bara ukajenga kule basi hauna haki ya umiliki wa nyumba kwa kuwa umezaa nae. Je, hizi sheria ndivyo zilivyo au kuna magumashi yamefanyika?

Na kama ndivyo hivi, hii nchi inafanya mambo tofauti bara na visiwani.

Mjomba alisarenda na kwenda kuishi kwa rafiki zake baada ya kutolewa na serikali ya huko.😥😥😥😥😡😕
Kuna maswali mengi yameulizwa na wasiwasi kutokana na stori fupi niliyoandika. Nitatafuta ushahidi ili nije nao. Lakini pia nashukuru kwa kunipa changamoto zitanisaidia kupata ushahidi mbalimbali.

Kuna watu wanahisi ni chuki za kidini au kisiasa la... Tusubiri nimeona maoni yenu nitayafanyia kazi.

Kuna mtu eti amesema wanatunyima dada zao, ndio mwaka huu January walinitosa japo dada yao alinipenda.

Hifadhi hii post kaka au dada, nitakuja harharani Mungu akipenda.
 
Mwaka uliopita, Mama yangu alinihadithia kuhusu jambo liliomtokea Mjomba wangu.

Ni hivi wadau, Mjomba wangu alioa mwanamke wa zanzibar nae alikuwa anafanya kazi huko na akajenga nyumba pia na akapata bahati ya kupata watoto wawili kwa sas wapo elimu ya sekondari.

Baada ya muda kutokana na visa vya mwanamke huyo mjomba alikuwa akimueleza kwamba ukiendelea na hivi visa, nitakuacha.

Lakini jibu la wanamke alikuwa anamwambia mjomba kwamba utaondoka wewe hapa.

Baada ya muda waliachana kweli.

Mchakato ukanzia hapa.

Yule mke wake akaanza kwenda katika Mahakama na kwa Kadhi na baadae sheria ikasema ikiwa wewe ni kutoka bara ukajenga kule basi hauna haki ya umiliki wa nyumba kwa kuwa umezaa nae. Je, hizi sheria ndivyo zilivyo au kuna magumashi yamefanyika?

Na kama ndivyo hivi, hii nchi inafanya mambo tofauti bara na visiwani.

Mjomba alisarenda na kwenda kuishi kwa rafiki zake baada ya kutolewa na serikali ya huko.😥😥😥😥😡😕
Mimi nilishaacha kununua vitu kwenye duka la waZanzibar. Kila nikisoma taarifa za huko nakuta ubaguzi mwingi na sisi tuishi kama wao.
 
Nyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?

Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
"Vichogo wa bara" umejumuisha watu wote wanaoishi bara bila ya kubagua dini. unajua kuwa kuna waislamu wanaishi bara? Sasa kukataa dadako asiolewe na muislamu wa bara labda unatumia dalili ipi ya kidini kukataza hilo? Ungeniwekea aya moja tu au hata hadith inayosapoti msimamo wenu .
 
Kuna mywa urojo mmoja huku nilicho mfanya hatasahau hadi siku anakufa japokua sio kitu kizuri lakini nilifurahia kulipiza kisasi kwa madhira wanayo wapa ndugu zetu
 
Kuna mywa urojo mmoja huku nilicho mfanya hatasahau hadi siku anakufa japokua sio kitu kizuri lakini nilifurahia kulipiza kisasi kwa madhira wanayo wapa ndugu zetu
Yani hapo ww ndo unakua na hatia
Lakini unajiona mjanja.....

Haya mambo yanapaswa kukoma lakin ww ndo unazidisha moto.....

Kibaya zaidi umemhukumu ambae hajakufanya lolote......

Watakuja wazanzibari na wao wakuite ww ni dhuluma

Hapo unakua hujajenga, umebomoa

"Ni bora kujenga daraja kuliko ukuta"
Ref: Mrisho Mpoto
 
Sheria gani ya kipuuzi hiyo, siku 3 mtu anakosa huduma ya afya. 😳😳

MKuu Zanzibar huduma ya Afya ni Bure 100% kwa wakaazi, kwenye vituo vya serikali. Ukiwa bado hujafikia mda wa kupata haki zote za ukaazi unatakiwa uchangie. Sasa mtu anapotaka kitonga alafu analilia lia ili iweje?
 
Kuna mywa urojo mmoja huku nilicho mfanya hatasahau hadi siku anakufa japokua sio kitu kizuri lakini nilifurahia kulipiza kisasi kwa madhira wanayo wapa ndugu zetu

umemfanyia nini mkuu?
 
Yani hapo ww ndo unakua na hatia
Lakini unajiona mjanja.....

Haya mambo yanapaswa kukoma lakin ww ndo unazidisha moto.....

Kibaya zaidi umemhukumu ambae hajakufanya lolote......

Watakuja wazanzibari na wao wakuite ww ni dhuluma

Hapo unakua hujajenga, umebomoa

"Ni bora kujenga daraja kuliko ukuta"
Ref: Mrisho Mpoto
Sijali na wala sitojali upumbavu wao uishie kwao wakivuka maji wajue huku sio kwao wakiingia kwenye mfumo tunasema nao kama walivyo kuja
 
Ndio maana w
MKuu Zanzibar huduma ya Afya ni Bure 100% kwa wakaazi, kwenye vituo vya serikali. Ukiwa bado hujafikia mda wa kupata haki zote za ukaazi unatakiwa uchangie. Sasa mtu anapotaka kitonga alafu analilia lia ili iweje?
Ndio maana wazanzibar wanataka kitongoji chao, kumbe wenzetu huduma ya afya ni bure kwa 100% hongera na pongezi kwao.
 
"Vichogo wa bara" umejumuisha watu watoe wanaoishi bara bila ya kubagua dini. unajua kuwa kuna waislamu wanaishi bara? Sasa kukataa dadako asiolewe na muislamu wa bara labda unatumia dalili ipi ya kidini kukataza hilo? Ukiniwekea aya moja tu au hata hadith inayosapoti msimamo wenu .
Kafiri mapembe , Azarel, amesilimu ?? na amekuwa Mzanzibari kuanzia lini ??
 
Nyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?

Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
Baada ya kuwa kwenye dini ya mwaarabu unajiona mjanja.😁😁😁😁😁
Kama unajeuri choma vitu vyote vya ndani kwako vilivyotengenezwa na makafiri. Utajikuta umebakiwa na
1. Kanzu
2. Maji ya zamzam
3. Quran
4. Mkojo wa ngamia
5. Tende
Hadi hiyo simu unayotumia utaichoma moto. Hapo ulipo unatumia simu iliyotengenezwa na makafiri, Jamii forum, X, Facebook, Telegram hadi Whatsapp zimetengenezwa na makafiri. Elimu na mtaala ni wa makafiri, mfumo wa uongozi ni makafiri. Hela ni za makafiri
Kitu nilichogundua ni kwamba Uislamu ni ujinga
 
Mwaka uliopita, Mama yangu alinihadithia kuhusu jambo liliomtokea Mjomba wangu.

Ni hivi wadau, Mjomba wangu alioa mwanamke wa zanzibar nae alikuwa anafanya kazi huko na akajenga nyumba pia na akapata bahati ya kupata watoto wawili kwa sas wapo elimu ya sekondari.

Baada ya muda kutokana na visa vya mwanamke huyo mjomba alikuwa akimueleza kwamba ukiendelea na hivi visa, nitakuacha.

Lakini jibu la wanamke alikuwa anamwambia mjomba kwamba utaondoka wewe hapa.

Baada ya muda waliachana kweli.

Mchakato ukanzia hapa.

Yule mke wake akaanza kwenda katika Mahakama na kwa Kadhi na baadae sheria ikasema ikiwa wewe ni kutoka bara ukajenga kule basi hauna haki ya umiliki wa nyumba kwa kuwa umezaa nae. Je, hizi sheria ndivyo zilivyo au kuna magumashi yamefanyika?

Na kama ndivyo hivi, hii nchi inafanya mambo tofauti bara na visiwani.

Mjomba alisarenda na kwenda kuishi kwa rafiki zake baada ya kutolewa na serikali ya huko.😥😥😥😥😡😕
Bomoa na tingatinga kama mzee wa chuga ingependeza zaidi.
 
Kuna mywa urojo mmoja huku nilicho mfanya hatasahau hadi siku anakufa japokua sio kitu kizuri lakini nilifurahia kulipiza kisasi kwa madhira wanayo wapa ndugu zetu
'Madhira' gani hayo awayopewa ndugu zako? Na wewe unaamini maneno ya mtandaoni!!? Hivi Zanzibar kungekuwa na hayo the so called 'madhira' unafkiri wangeendelea kuja? Kwanza Zanzibar saivi hasa wazanzibari wanahesabika, tena karibu tu wageni watakuwa wengi kuwazidi wenyeji FYI
 
mtu akikutendea wema mlipe wema.
akikutendea ubaya shughulika naye huyohuyo. tuache generalisation fallacy. mie nishaacha hayo. siwezi kumfanyia ubaya mzanzibar maadamu hajanifanyia ubaya au mtu yoyote yule kisa utofauti wa kabila imani au rangi au hali za kimaisha.

mie zamani nilikua nachukia waarabu. lakini ajabu huku nafanya kazi uarabuni nimekua na marafiki waarabu na tunapanga mipango na jamaa wamenisaidia sana kama washkaji. tofauti na nilivyotegemea mwanzo nilienda na akili zangu. lakini haimaanishi wabaya hawapo, wapo pia.
 
'Madhira' gani hayo awayopewa ndugu zako? Na wewe unaamini maneno ya mtandaoni!!? Hivi Zanzibar kungekuwa na hayo the so called 'madhira' unafkiri wangeendelea kuja? Kwanza Zanzibar saivi hasa wazanzibari wanahesabika, tena karibu tu wageni watakuwa wengi kuwazidi wenyeji FYI
Watanganyika waliofika kwenye kale kakisiwa hasa ambao waliishi changanyikeni ndio wanajua upumbavu wa wale watu na jinsi walivyo kua wabaguzi lakini kwakua wewe ni mmoja wao unaona ni sawa tuu, sasa na sisi tutaendelea kusema nao tuu jino kwa jino alieua auwawe
 
Back
Top Bottom