Je, Zanzibar ni Sauzi?

Ebu tumtafutie wanasheria kutoka bara
 
Nyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?

Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
Kwani anaewataka nyie mbwa msiokua na visogo ni nani πŸ€” unaona ukafiri ni kula ngurue na wakati mashoga mmejazana kila mtaa πŸ€” nyie ndio makafiri mashetani kabisa mikosi mitupu
 
Kwani anaewataka nyie mbwa msiokua na visogo ni nani πŸ€” unaona ukafiri ni kula ngurue na wakati mashoga mmejazana kila mtaa πŸ€” nyie ndio makafiri mashetani kabisa mikosi mitupu
Mnakuja tu Zanzibar na Ushamba wenu, ndio maana mnakuja kutumikishwa kazi ngumu huku kama watumwa nyie Makafiri wenye vichogo
 
Nyie Vichogo wa Bara hivi tuwaeleze vipi kuwa hatutaki mazoea na ninyi?

Hata Dada zetu hatutaki muwaoe, Nyie hamuachi Ukafiri wa kula kitimoto
Na dini yenu ya mnyaaazi mungu, suguhana uwatahala Azarel
 
Mnakuja tu Zanzibar na Ushamba wenu, ndio maana mnakuja kutumikishwa kazi ngumu huku kama watumwa nyie Makafiri wenye vichogo
Watanganyika wanafanya kazi ngumu kwa sababu wako timamu nyie mkipiga hata chafya kisamvu kina mwagika mtawezaje kazi ngumu πŸ€” umaskini umewajaa kuanzia nywele hadi kucha alafu unapata jeuri ya kuwaita watu watumwa πŸ€” mna nini mbwa nyie shenzi kabisa πŸ€”Unaweza kuchekesha maiti
 
Mie si nawaona wapo wengi tu, tupo nao mpk job hapa wala hakuna shida yyt. Hivi km mtu mmoja akiwa mwizi au muuaji kwa kuwa katoka kabila fulani ndio utawahukumu watu wa kabila hilo wote kuwa ni wauwaji au wezi? Tabia haina kabila rafiki. Acheni kulishana kasumba wakati wenzenu wengi tu wapo zenji wanajitafutia riziki pasi na bughudha. Na wengine wanaendelea kuja kwa kuwa wanapewa salamu kuwa kupo salama
 
Wa
Je, waliokuwa huko na huku wapi wengi?!
 

kujazana chuki ni jambo baya sana, unaweza mchukia mtu ambae ni mwema kwako kabisa
 
Uongo, tena chai mcchana jua kali
 
Kuna bΓ dhi ya watu wanakua na chuki za asili kwa waarabu na waislam, Na wazanzibar. Kuna maneno meng ya kashfa mnawatuhum wazanzbr kama vile upand wa bara hakuna. Binafsi nmeishi bara mikoa tofaut na chuki nilizokutana nazo kwa baadh ya watu hazielezeki, lkn sijawalaum wabara wote kwasbb nilijua wale jamaa ni wajinga wasiojielew.
Saiz mitandaon kuna meng sana ukiskilix ya mitandaon utaanza kuchukia baadh ya wat kumbe uhalisia ni tofaut. Jaman, kama ni wabaya, wahuni, makatili, wabaguzi, hizo aina za watu wapo kila sehem usihukum waty wote kwa tabia za wahache au kwa taarif xa kuskia.
 
Wewe nenda kanunue TV,au FRIJI zanzibar uone
 
Wa

Je, waliokuwa huko na huku wapi wengi?!
Zanzibar wabongo wengi sn. Mahotelini asilimia zaidi ya 90 wafanyakazi ni from mainland. Mbali na kazi nyengine kama za majumbani, mafundi ushoni, wauza matunda na wauza maduka ya watalii stone Town. N.k
Watu tunaishi vizuri sana, ukiskiza story ya mtu mmoja au story za mitandaoni na ukija ukaiona Zanzibar yenyewe utashangaa ni vitu viwili tofauti.
Kuna watu wanapenda kueneza chuki sijui wanafaidika nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…