Au. Nimekosea jukwaa , niende. International sio , zile mada za IGA ,, MIGA zikajadiliwe !!! Maana kuna mikataba kama yote imefutwa na tawala hizo za kijeshi maana zilikuwa na unyonyaji. ...na wizi wa. Kiutandawazi....
Here we are , Tanzania tuliingia mikataba ya kiuwendawazimu hata wa darasa la saba hawezi kubali ku sign mikataba ya ki chief mangungo ,,,, hahahha ahahaha aseee tuendeleee. Kulipa. Hizo hela aseeeeee