Pre GE2025 Je, Zitto ni Msemaji wa Ikulu?

Pre GE2025 Je, Zitto ni Msemaji wa Ikulu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191
Nimeshangazwa sana na Zitto kutoa tamko la kuwa Rais atagharamia matibabu ya Sativa, swali ni je Zitto amekuwa lini msemaji wa Ikulu? Pia ametuandikia kuwa mazingira yanaenda kuwa sawa, taarifa zote alizotoa kuonesha kuwa yeye anamsemea Rais. Hii ni mara ya pili Zitto anajaribu kujionesha kuwa na ukaribu na Ikulu.

Aidha, Zitto Kabwe kwenye kauli yake amesaini kuwa ni kiongozi mstaafu wa ACT, sasa inakuwaje mstaafu anatumia logo na identity ya chama. Imagine mstaafu wa TAKUKURU anasaini barua kwa headed letter ya TAKUKURU, Sio kama tutamuona ni mzuaji wa Taharuki.

Zitto is the learned brother lakini statement yake ina makosa mengi ya kitaalamu na kiitifaki
 
Zitto ni opportunist kitambo japo pia ni mdini mno.

Iwapo Mama Samia ataendelea kutawala hadi 2030 hutasikia Zitto akijihusisha na Ukosoaji.

Mathalani, tangu Samia achukue hatamu Mwezi Machi, 2021 mmemsikia Zitto akihoji kuhusu ubadhirifu ama Kukosoa kuhusu Sera ya Serikali kujiendesha Kwa Kukopa.

Huyo ndiyo Zitto sasa 🙌
 
Nimeshangazwa sana na Zitto kutoa tamko la kuwa Rais atagharamia matibabu ya Sativa, swali ni je Zitto amekuwa lini msemaji wa Ikulu? Pia ametuandikia kuwa mazingira yanaenda kuwa sawa, taarifa zote alizotoa kuonesha kuwa yeye anamsemea Rais. Hii ni mara ya pili Zitto anajaribu kujionesha kuwa na ukaribu na Ikulu.

Aidha, Zitto Kabwe kwenye kauli yake amesaini kuwa ni kiongozi mstaafu wa ACT, sasa inakuwaje mstaafu anatumia logo na identity ya chama. Imagine mstaafu wa TAKUKURU anasaini barua kwa headed letter ya TAKUKURU, Sio kama tutamuona ni mzuaji wa Taharuki.

Zitto is the learned brother lakini statement yake ina makosa mengi ya kitaalamu na kiitifaki
Zito msaliti
Ndo wale nawasema Kila siku
Wanadhani dini ya raisi ndo dini ya taifa,

Tuna tatizo kubwa la ni zamu ya dini yetu
 
Nimeshangazwa sana na Zitto kutoa tamko la kuwa Rais atagharamia matibabu ya Sativa, swali ni je Zitto amekuwa lini msemaji wa Ikulu? Pia ametuandikia kuwa mazingira yanaenda kuwa sawa, taarifa zote alizotoa kuonesha kuwa yeye anamsemea Rais. Hii ni mara ya pili Zitto anajaribu kujionesha kuwa na ukaribu na Ikulu.

Aidha, Zitto Kabwe kwenye kauli yake amesaini kuwa ni kiongozi mstaafu wa ACT, sasa inakuwaje mstaafu anatumia logo na identity ya chama. Imagine mstaafu wa TAKUKURU anasaini barua kwa headed letter ya TAKUKURU, Sio kama tutamuona ni mzuaji wa Taharuki.

Zitto is the learned brother lakini statement yake ina makosa mengi ya kitaalamu na kiitifaki
Nami nilijiuliza hili swali kajamaa kanafiki sana.
 
Nimeshangazwa sana na Zitto kutoa tamko la kuwa Rais atagharamia matibabu ya Sativa, swali ni je Zitto amekuwa lini msemaji wa Ikulu? Pia ametuandikia kuwa mazingira yanaenda kuwa sawa, taarifa zote alizotoa kuonesha kuwa yeye anamsemea Rais. Hii ni mara ya pili Zitto anajaribu kujionesha kuwa na ukaribu na Ikulu.

Aidha, Zitto Kabwe kwenye kauli yake amesaini kuwa ni kiongozi mstaafu wa ACT, sasa inakuwaje mstaafu anatumia logo na identity ya chama. Imagine mstaafu wa TAKUKURU anasaini barua kwa headed letter ya TAKUKURU, Sio kama tutamuona ni mzuaji wa Taharuki.

Zitto is the learned brother lakini statement yake ina makosa mengi ya kitaalamu na kiitifaki
Ndugu zetu katika Imani huteteana katika jambo lolote!!
 
Zitto ni opportunist kitambo japo pia ni mdini mno.

Iwapo Mama Samia ataendelea kutawala hadi 2030 hutasikia Zitto akijihusisha na Ukosoaji.

Mathalani, tangu Samia achukue hatamu Mwezi Machi, 2021 mmemsikia Zitto akihoji kuhusu ubadhirifu ama Kukosoa kuhusu Sera ya Serikali kujiendesha Kwa Kukopa.

Huyo ndiyo Zitto sasa 🙌
Ni vyema pia tukamsamehe Mzee Zito. Ule ugonjwa amekaa nao muda mrefu sana tange enzi za akina Amina Chifupa!!

Huenda issue imeshagonga ubongo
 
Ikulu imeona aibu kujitokeza yenyewe direct , ikajificha nyuma ya mgongo wa zitto kabwe .
 
Moderator em angalieni na uzi za kuweka hy kuelekea 2025 mana sasa hv kila uzi wa siasa nyie mnaona ni kuelekea uchaguzi tuu, sasa hii mada inaelekea vp 2025?
 
Nimeshangazwa sana na Zitto kutoa tamko la kuwa Rais atagharamia matibabu ya Sativa, swali ni je Zitto amekuwa lini msemaji wa Ikulu? Pia ametuandikia kuwa mazingira yanaenda kuwa sawa, taarifa zote alizotoa kuonesha kuwa yeye anamsemea Rais. Hii ni mara ya pili Zitto anajaribu kujionesha kuwa na ukaribu na Ikulu.

Aidha, Zitto Kabwe kwenye kauli yake amesaini kuwa ni kiongozi mstaafu wa ACT, sasa inakuwaje mstaafu anatumia logo na identity ya chama. Imagine mstaafu wa TAKUKURU anasaini barua kwa headed letter ya TAKUKURU, Sio kama tutamuona ni mzuaji wa Taharuki.

Zitto is the learned brother lakini statement yake ina makosa mengi ya kitaalamu na kiitifaki
Upinzani hamna bongo,njaa tupu Doto Magari anasema mwenye njaa hana kiapo.

Huyu jamaa kipindi cha Magu,kila Movement ya Magu lazima aite press,kila bajeti lazima achambue na kuponda sasa hivi kimya.
 
Back
Top Bottom