Jean Baleke aliionea huruma Yanga?! HBD

Yaani jana mchezaji yupo yeye na goli tu anakosa magoli halafu bado mnamsifia. Zile sio nafasi za kukosa
 
Nilisema nitampima Baleke kwa MICHEZO hii mi 4-5

1. Simba na yanga.
2. Simba na Azam.
3. Simba na wydad.
4 Wydad na Simba.

Niliahidi akifikisha goli 3.
Atakuwa Mfalme lakini sion DALILI.
 
Nilisema nitampima Baleke kwa MICHEZO hii mi 4-5

1. Simba na yanga.
2. Simba na Azam.
3. Simba na wydad.
4 Wydad na Simba.

Niliahidi akifikisha goli 3.
Atakuwa Mfalme lakini sion DALILI.
NI galasa tu huyu jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…