OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yaani jana mchezaji yupo yeye na goli tu anakosa magoli halafu bado mnamsifia. Zile sio nafasi za kukosaJana ndiyo nilithibitisha kuwa huyu jamaa ni mzuri sana kwenye nafasi yake, anajua sana kukaa kwenye nafasi za kufunga na uwezo wa kukokota mpira anao pia.
Huyu anatakiwa abaki hapo Simba Sc, atafunga mno kama hatapata majeraha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mguu mmoja weka juu
Style ganii hii shem??
Wanatumia masaburi kufikiriYaani jana mchezaji yupo yeye na goli tu anakosa magoli halafu bado mnamsifia. Zile sio nafasi za kukosa
NI galasa tu huyu jamaaNilisema nitampima Baleke kwa MICHEZO hii mi 4-5
1. Simba na yanga.
2. Simba na Azam.
3. Simba na wydad.
4 Wydad na Simba.
Niliahidi akifikisha goli 3.
Atakuwa Mfalme lakini sion DALILI.
ni shabiki wa yqngaView attachment 2590662
Pale Baleke sio wa kukosa magoli. Ile ilikuwa huruma kwa watoto wadogo kisoka. Alikuwa na kila hali ya kupiga hat trick zake. Hii kwa afya ya Uto isingekuwa sawa.
Happy Birthday Jean Jini Baleke
Style ganii hii shem??
Mbinuko protecter???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
mtasema mengiView attachment 2590662
Pale Baleke sio wa kukosa magoli. Ile ilikuwa huruma kwa watoto wadogo kisoka. Alikuwa na kila hali ya kupiga hat trick zake. Hii kwa afya ya Uto isingekuwa sawa.
Happy Birthday Jean Jini Baleke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Khaaaaa