Jean Baleke anaidai Klabu ya Yanga TSh. Million 155

Jean Baleke anaidai Klabu ya Yanga TSh. Million 155

Ubaya Ubwela

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2024
Posts
1,353
Reaction score
3,060
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa upande wa Jean Baleke ni kuwa anaidai Yanga kiasi cha dola 60,000 ambapo dola 30,000 signing fee na dola 30,000 nyingine ni gharama za kuvunja mkataba, kama Yanga hawatomlipa ana mpango wa kuwapeleka FIFA.

Dola 60,000 ni sawa na MILLION 155.

Hii timu kwa Madeni ni Kiboko, Sasa ni zamu ya Baleke kuwapeleka FIFA baada ya Baleke atakaefata ni Chama baada ya Chama atakua Ikanga

Uongozi wa utopolo ukubali kwenda kuwaomba uongozi wa Simba uwafundishe Jinsi ya kuingia mikataba na Kuvunja kwa Amani

Kama Fifa wasingekua na sheria kali la kushinikiza pesa zilipwe deni la Yanga Lingekua limeshalipita deni la taifa
 
Baleke akiwa katika Majukumu yake uwanja wa Msasani, Diwani Cup
 

Attachments

  • IMG_20250128_170014_890.jpg
    IMG_20250128_170014_890.jpg
    307 KB · Views: 2
Matapeli hayoooo
Matapeli hayoooo
Matapeli hayoooo
Matapeli hayoooo
Matapeli hayoooo
 
Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa upande wa Jean Baleke ni kuwa anaidai Yanga kiasi cha dola 60,000 ambapo dola 30,000 signing fee na dola 30,000 nyingine ni gharama za kuvunja mkataba, kama Yanga hawatomlipa ana mpango wa kuwapeleka FIFA.

Dola 60,000 ni sawa na MILLION 155.

Hii timu kwa Madeni ni Kiboko, Sasa ni zamu ya Baleke kuwapeleka FIFA baada ya Baleke atakaefata ni Chama baada ya Chama atakua Ikanga

Uongozi wa utopolo ukubali kwenda kuwaomba uongozi wa Simba uwafundishe Jinsi ya kuingia mikataba na Kuvunja kwa Amani

Kama Fifa wasingekua na sheria kali la kushinikiza pesa zilipwe deni la Yanga Lingekua limeshalipita deni la taifa
Huyo dogo naye wacha yamkute alitoa maneno ya kuikashifu Simba aliposajiliwa Yanga alijiona amefika, hiyo ndiyo nyuma mwiko kuingia kwa kicheko kutoka kwa machozi.
 
Back
Top Bottom