demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Unaweza kucheza na Phiri kama CF lakini hana uwezo wa kukupa availability factor.
Onana sio mchezaji wa kumtegemea, naye majeruhi yatamuandama.
Kramo hawezi kicheza CF full season.
Bocco ndio tusimzungumzie.
Huwezi beba ubingwa wa Ligi kwa kucheza na False 9.
Yanga tujiandae na Parade lingine.
Onana sio mchezaji wa kumtegemea, naye majeruhi yatamuandama.
Kramo hawezi kicheza CF full season.
Bocco ndio tusimzungumzie.
Huwezi beba ubingwa wa Ligi kwa kucheza na False 9.
Yanga tujiandae na Parade lingine.