BABA Dillish
JF-Expert Member
- Jan 20, 2016
- 2,362
- 3,252
Hu Jintao 🙏🙏 Nguvu MojaHapo ilikuwa tarehe 24/08/2022, Chico ushindi na beleke wakitambulishwa kwenye timu Yao mpya Nejmeh Sporting Club ya huko Lebanon baada ya kutolewa Kwa mkopo na Mazembe.
"Ujinga ni kuamini anachosema mjinga"(Mwl. Nyerere)
😂😂👊👊Labda alimaanisha Port ya DP World.
Mpumbavu sana na kiingereza chako ni dhaifa kabisa. Hujui kuwa oyster ni aina fulani ya konokono wanaoliwa kama samaki na wala hakuna neno la kiingerza la Oster. Elewa kuwa pale panapoitwa Oyster Bay leo (siyo Oster Bay) ni mahali ambapo kulikuwa na konokono wengi wa aina hiyo ya Oyster wakati huo wa mkoloni. Kama umejifunza hilo basi nitafurahi sana.Oster Bay.
Kakuaga wewe mkiwa wapi?Kimsingi ni kwamba AMEAGA.
Mkuu , Manara alishamaliza kila kitu . Utopoloni wenye akili ni wawili tu (Sunday Manara na Kikwete) Huyu Yuko kwenye lile kundi la waliobaki. Asikuwangishe kichwa.Baleke Alikuwepo Tanzania.
Passport yake IMEJAA.
Amelazimika kwenda KWAO CONGO.
Kwaajili ya KukamilIha passport yake ya kusafilia.
Ili asafiri na Simba kwenda UTURUKI.
KAMA KITU HUJUI BORA UULIZE.
UKIULIZA UNAEPUKA KUONEKANA MPUMBAVU.
Mkuu , Manara alishamaliza kila kitu . Utopoloni wenye akili ni wawili tu (Sunday Manara na Kikwete) Huyu Yuko kwenye lile kundi la waliobaki. Asikuwangishe kichwa.
Baleke anamkataba na simba wa miaka miwili ametumikia miezi mitano bado mwaka na miezi saba. Baleke ameenda congo kushuhulikia swala la viza ili aweze kwenda uturuki. Ishu ya kiungo wa kati simba tayari wameshalifanyia kazi imebaki kutangazwa tu. ukiwa huna habari za uhakika tafuta pa kupeleka.Unaweza kucheza na Phiri kama CF lakini hana uwezo wa kukupa availability factor.
Onana sio mchezaji wa kumtegemea, naye majeruhi yatamuandama.
Kramo hawezi kicheza CF full season.
Bocco ndio tusimzungumzie.
Huwezi beba ubingwa wa Ligi kwa kucheza na False 9.
Yanga tujiandae na Parade lingine.View attachment 2682043
Aliyeandika hilo neno alisoma MEMKWA kituo gani??Haya na hapa je?View attachment 2682067
Kweli wenye akili yanga ni wawili tu.Unaweza kucheza na Phiri kama CF lakini hana uwezo wa kukupa availability factor.
Onana sio mchezaji wa kumtegemea, naye majeruhi yatamuandama.
Kramo hawezi kicheza CF full season.
Bocco ndio tusimzungumzie.
Huwezi beba ubingwa wa Ligi kwa kucheza na False 9.
Yanga tujiandae na Parade lingine.View attachment 2682043