Jean Baleke hakuwahi kuwa mfungaji Bora pale TP Mazembe (ligi ya kongo) Kama mnavyo danganywa/jidanganya

Simba ni WAPUMBAVU. Aliwaambiaga Mwenyekiti wao ana kwa ana mwaka 2014 katika Mkutano Mkuu wa Wanasimba.
 
Weka list ya mfungaji bora wa ligi ya DRC kwa kila msimu. Mfano

2021/2022 kiatu kachukua fulani

2020/2021 kiatu kachukua fulani. Simple tu
 
Weka list ya mfungaji bora wa ligi ya DRC kwa kila msimu. Mfano

2021/2022 kiatu kachukua fulani

2020/2021 kiatu kachukua fulani. Simple tu
Nilitegemea ungekuja na evidence kupinga hiki nilichokizungumza.
 
Weka list ya mfungaji bora wa ligi ya DRC kwa kila msimu. Mfano

2021/2022 kiatu kachukua fulani

2020/2021 kiatu kachukua fulani. Simple tu

 
Sababu ya simba unaweza hata ukagongewa mkeo. Maana unasahau mpaka majukumu yako ya msingi mana muda wote unaiwaza tuu simba.
 
Msimu wa 2020/2021 haupo kwenye list ya wa wafungaji. Ilivyofika 2019/2020 Ikaenda hadi 2021/2122 kuna msimu haupo hapo
 
Msimu wa 2020/2021 haupo kwenye list ya wa wafungaji. Ilivyofika 2019/2020 Ikaenda hadi 2021/2122 kuna msimu haupo hapo
Msimu wa 2020/2021 angalia kwenye link ya pili yake chini. Nimekupa source mbili, mtandaoni hakuna kitu cha siri.

Baada ya kusoma source zote, nawewe uje na source inayoonesha Baleke akiwa top scorer wa ligi ya Congo
 
Msimu wa 2020/2021 angalia kwenye link ya pili yake chini. Nimekupa source mbili, mtandaoni hakuna kitu cha siri.

Baada ya kusoma source zote, nawewe uje na source inayoonesha Baleke akiwa top scorer wa ligi ya Congo
Nikifungua link ya pili inanipileka kwenye page yenye pamoja na mambo mengine,ratiba ya UEFA YA LEO sioni hiyo ya 2020/2021. Screen shot kama vipi kama kwako inafunguka vizuri
 
Sababu ya simba unaweza hata ukagongewa mkeo. Maana unasahau mpaka majukumu yako ya msingi mana muda wote unaiwaza tuu simba.
Unauhakika Kama nimesahau mke wangu?? Kama huna hoja kaa kimya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…