Jean Baleke hakuwahi kuwa mfungaji Bora pale TP Mazembe (ligi ya kongo) Kama mnavyo danganywa/jidanganya

Jean Baleke hakuwahi kuwa mfungaji Bora pale TP Mazembe (ligi ya kongo) Kama mnavyo danganywa/jidanganya

Ulikua unatoa mwiko ndiyo ukajua ni nyani?Akumbukwe Aimel.
Tubishane kwa hoja na Wala siyo kuleta MATUSI

Nakazia baleke hakuwahi kuwa mfungaji Bora kongo Kama unabisha Leta evidence/ ushahidi madhubuti utakaorodhisha kwetu.
 
Ndio ilivyo, asa itafute takwimu kwenye trusted source yoyote ikimuonesha Baleke akiwa top scorer wa ligi ya Congo.
Na kuhusu idadi ya magoli aliyekuwa top scorer ambaye ni Dark Kabangu kuwa na magoli 7, kama unaona haiwezekani lazima top scorer awe na goli 10+ basi nenda ufatilie msimu wa 2021/22 Makabi Lilepo kutoka As Vita alikuwa na goli tisa tu na ndiye top scorer. Hakuna ushahidi utakaopatikana Baleke kuwa kinara wa magili Congo.


Screenshot_20230412-082002.png
Screenshot_20230412-081927.png
 
Hizo screenshot nimezichukua kutoka twitter account ya Tp Mazembe. Katumbi akiwa anaadress. Akisema kuwa Baleke ni topscorrer wa Vodacom League 1. Nikipata nafasi nitatafuta source zingine
 
Hizo screenshot nimezichukua kutoka twitter account ya Tp Mazembe. Katumbi akiwa anaadress. Akisema kuwa Baleke ni topscorrer wa Vodacom League 1. Nikipata nafasi nitatafuta source zingine
Kumbe katmbi ndiyo alisema na mashabiki wa Simba wakalichukua Kama lilivyo [emoji23]
 
Hizo screenshot nimezichukua kutoka twitter account ya Tp Mazembe. Katumbi akiwa anaadress. Akisema kuwa Baleke ni topscorrer wa Vodacom League 1. Nikipata nafasi nitatafuta source zingine
Unapotuma screen shot weka na link kabisa ili tuweze kupitia. Ligi ya Congo sio ligi yenye usiri mkubwa kiasi kwamba mchezaji awe top scorer halafu tasrifa za hayo magoli yake yasiwepo.
 
Hizo screenshot nimezichukua kutoka twitter account ya Tp Mazembe. Katumbi akiwa anaadress. Akisema kuwa Baleke ni topscorrer wa Vodacom League 1. Nikipata nafasi nitatafuta source zingine
Nyingine hii
 

Attachments

  • Screenshot_20230412-085425.png
    Screenshot_20230412-085425.png
    94.8 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230412-085407.png
    Screenshot_20230412-085407.png
    91.3 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230412-085209.png
    Screenshot_20230412-085209.png
    141.4 KB · Views: 1
Hii ni zawadi za ligi DRC
 

Attachments

  • Screenshot_20230412-085900.png
    Screenshot_20230412-085900.png
    29.9 KB · Views: 1
Unapotuma screen shot weka na link kabisa ili tuweze kupitia. Ligi ya Congo sio ligi yenye usiri mkubwa kiasi kwamba mchezaji awe top scorer halafu tasrifa za hayo magoli yake yasiwepo.
Hicho ndicho kinachonishangaza mimi
 
Unapotuma screen shot weka na link kabisa ili tuweze kupitia. Ligi ya Congo sio ligi yenye usiri mkubwa kiasi kwamba mchezaji awe top scorer halafu tasrifa za hayo magoli yake yasiwepo.

Hapo ni December 2020 msimu wa 2020/2021 unaendelea bado Baleke yuko JSK akiwa na goli tisa kinara wa magoli Linafoot ,ilapofika January 2021 akahamia Mazembe na magoli yake
 
1)Kipa Bora Omosola. As Vita
2)Beki Bora Inonga. DC Motema Pembe
3)Kiungo Bora. Kouame Mezembe

4)mshambuliaji kinara Baleke (Mazembe+JSK) magoli 14

5)kocha bora Ibenge. As Vita
 

Attachments

  • Screenshot_20230412-091239.png
    Screenshot_20230412-091239.png
    44 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230412-091217.png
    Screenshot_20230412-091217.png
    22.5 KB · Views: 1
1)Kipa Bora Omosola. As Vita
2)Beki Bora Inonga. DC Motema Pembe
3)Kiungo Bora. Kouame Mezembe

4)mshambuliaji kinara Baleke (Mazembe+JSK) magoli 14

5)mocha bora Ibenge. As Vita
Hii haujaweka link. Weka link mkuu
 
Back
Top Bottom