OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hili ni jini lisilokabika, mkijitahidi sana baki litawapiga hata kamoja. Huwezi kulifananisha na vitu vya kijinga. Labda alinganishwe na kundi.
Ndiye mchezaji bora wa mwezi Machi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amezifunga timu ambazo yanga alishindwa kuzifunga au yanga alishinda goli mojaAiseee, Mchezaji wa kawaida sana tena asiye na maajabu. Magoli anayofunga hata mwanangu wa P6 anafunga ila kwa kuwa simba hamna timu na mnalazimisha upinzani na Yanga ndio mnajiokotezea na kanzisha vithread mbalmbali humu ili muonekane mpo. Sisi Waydad tunawasubiri tu.
Huyo kajitoa akili tu, atuambie kamkabidhi naniAmezifunga timu ambazo yanga alishindwa kuzifunga au yanga alishinda goli moja
Mtibwa kala 3, ihefu kala 3
Nimemkabidhi rageHuyo kajitoa akili tu, atuambie kamkabidhi nani
Baleke mmoja ni sawa na Mayele, Msonda na Aziz Ki kama kifungashio. Baleke analinganishwa na kundiMayele anakusalimia
AaaahaaaBaleke mmoja ni sawa na Mayele, Msonda na Aziz Ki kama kifungashio. Baleke analinganishwa na kundi
Wanawake huwasema watu kama wewe mnajishaua.Aiseee, Mchezaji wa kawaida sana tena asiye na maajabu. Magoli anayofunga hata mwanangu wa P6 anafunga ila kwa kuwa simba hamna timu na mnalazimisha upinzani na Yanga ndio mnajiokotezea na kanzisha vithread mbalmbali humu ili muonekane mpo. Sisi Waydad tunawasubiri tu.
Ni lazima afunge.Aaaahaaa
Tarehe 16 siyo mbali
Tutajua mbivu na mbichi
Naona mmezoea.Sawa
Ila lazima mkae
Tumsafishie njia Wydad
Tumezoea niniNaona mmezoea.
Unasema?Baleke mmoja ni sawa na Mayele, Msonda na Aziz Ki kama kifungashio. Baleke analinganishwa na kundi
Aisee mambo juu ya mamboJean Baleke, The Goal Machine. Jina hili nilimbatiza mimi naona limemkaa.
Na wakimkamia tunampanga pia Phiri na Okrah, labda waingize wachezaji 18 uwanjani, hivi hivi hawatoboi.
Visionary football pundit [emoji122][emoji122]Jean Baleke, The Goal Machine. Jina hili nilimbatiza mimi naona limemkaa.
Na wakimkamia tunampanga pia Phiri na Okrah, labda waingize wachezaji 18 uwanjani, hivi hivi hawatoboi.