Jean JINI Baleke karejea Dar es Salaam na Simba SC hivyo taabu iko pale pale

Jean JINI Baleke karejea Dar es Salaam na Simba SC hivyo taabu iko pale pale

Unge-question personality yake siyo kukejeli ulemavu wake. Kama bado unazaa, basi sali sana kwani Mungu anaweza kukuzawadia mtoto ambaye ama atakuwa mbilikimo au atakuwa na ulemavu wa ngozi pia. Hayo yanatokea katika familia yoyote randomly wala siyo genetic na wala haina ujanja wa kuyazuia.
Never defend a Fool by any means Ok?
 
Mwambieni Yule Meno Kuungua wenu, mla Mirungi na Mporwa Wake zake aliyeandika katika Instagram Page yake kuwa Baleke kaondoka rasmi Simba SC kuwa amerejea rasmi Tanzania na Simba SC hivyo asipende kuwa na Kiherehere.

Imeisha hiyo.....!!
Yule jamaa ana mpapampapa mno
 
Back
Top Bottom