GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
- #21
Unategemea Ubongo wenye Akili hapa?Unaujua ustaarabu dogo?
View attachment 2683964
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unategemea Ubongo wenye Akili hapa?Unaujua ustaarabu dogo?
View attachment 2683964
Anavyomuita Onyango Sokwe ni Ustaarabu?Hapana mzee wangu lakini si ustaarabu kumkejeli mtu kwa ulemavu ambao hakuuomba kwa hiari.
Precisely.Kilema si tatizo . Tatizo ni tabia
View attachment 2683977
Never defend a Fool by any means Ok?Unge-question personality yake siyo kukejeli ulemavu wake. Kama bado unazaa, basi sali sana kwani Mungu anaweza kukuzawadia mtoto ambaye ama atakuwa mbilikimo au atakuwa na ulemavu wa ngozi pia. Hayo yanatokea katika familia yoyote randomly wala siyo genetic na wala haina ujanja wa kuyazuia.
Hapana Mumeo ndiyo Wakumtegemea zaidi.baleke nae wakumtegemea,dah
Mkuuu una matusi sijawahi ona wallahYule jamaa mwenye ukoma wa ngozi na midomo si alisema jamaa ndo basi tena?
Mimi ndio mumeo kenge weweHapana Mumeo ndiyo Wakumtegemea zaidi.
Yule jamaa ana mpapampapa mnoMwambieni Yule Meno Kuungua wenu, mla Mirungi na Mporwa Wake zake aliyeandika katika Instagram Page yake kuwa Baleke kaondoka rasmi Simba SC kuwa amerejea rasmi Tanzania na Simba SC hivyo asipende kuwa na Kiherehere.
Imeisha hiyo.....!!
Kenge ni yule Aliyekuzaa na siyo Mimi.Mimi ndio mumeo kenge wewe
Kweli ndugu tutaniane kiustaarabu tusifike kwenye kudhalilisha utu wa mtu maana Hujafa Hujaumbika.Hakupenda kuzaliwa hivyo ila ni mapenzi ya Mungu, Heri yako wewe uliyekamilika.