Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,897
- 6,925
Kwa hiyo hamna failures? Coz "ufaulu usioridhisha" sio kufeli. TZ hamna linaloshindikana...!
Kwa hiyo hamna failures? Coz "ufaulu usioridhisha" sio kufeli. TZ hamna linaloshindikana...!
Kama aliyepewa umiss bibi wa miaka 18 ana mastaz.
Div 0 ni kundi la ufaulu usioridhisha inakuajee ufaulu tena?...kazi ipoo.
kumbe bestito wafahamu hilo eheee
mfumo wetu wa elimu unasikitisha besti..!
Kawambwa kawa mbwa mwitu kwa afya ya elimu ya tz.