Jedwali la kiwango cha ufaulu sekondari hadi division 5

Jedwali la kiwango cha ufaulu sekondari hadi division 5

Candid Scope

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2010
Posts
11,897
Reaction score
6,925
kawambwa-August26-2014.jpg

Waziri Shukuru Kwambwa​
561603_387773217992686_354737000_n.jpg
 
Div 0 ni kundi la ufaulu usioridhisha inakuajee ufaulu tena?...kazi ipoo.
 
Kwa hiyo hamna failures? Coz "ufaulu usioridhisha" sio kufeli. TZ hamna linaloshindikana...!
 
Politics ruin our education. May God forbid this shit.
 
Kawambwa kawa mbwa mwitu kwa afya ya elimu ya tz.
 
Akili ya njaa haishindwi jambo lolote hiyo ndio TZ yetu
 
huweizi jua labda alianza chekechea akiwa na miaka 2 halafu darasa la kwanza akiwa na miaka 3 ndo maana ana masters au alisoma kwa hatua na kupelekwa juu kila kidato
Kama aliyepewa umiss bibi wa miaka 18 ana mastaz.
 
Ni kweli best usemayo yani sijui nani atasimama na kurekebisha huu mfumo maana viongozi wote wamekaa kisiasa siasa hakuna uratibu mzuri wa kufuatilia na kurekebisha mfumo huu
mfumo wetu wa elimu unasikitisha besti..!
 
Back
Top Bottom