mgen
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 23,169
- 9,054
A yupo kituo cha basi akisubiri kupata usafiri.
ikatokea ajali ya gari karibu na yeye!
B alikuwa msafiri ktk gari iliyopata ajali.
Kwenye ile ajali mkono wa B ukakatika na kumrukia A, na kumuua pale pale!
Jee B Akipona matibabu ana kesi ya kujibu?
Wanasheria nisaidieni.
ikatokea ajali ya gari karibu na yeye!
B alikuwa msafiri ktk gari iliyopata ajali.
Kwenye ile ajali mkono wa B ukakatika na kumrukia A, na kumuua pale pale!
Jee B Akipona matibabu ana kesi ya kujibu?
Wanasheria nisaidieni.