Kipunguni
Senior Member
- Jun 20, 2008
- 151
- 4
Kibunango,
Sijatia chumvi chochote. Nimemsikia kwa masikio yangu mwenyewe Ali akisema kuwa yeye ndiye real Karume. Go figure! Hata mashahidi ninao.
Mkuu Jasusi,
Alikuwa ana maanisha kwamba rais wa sasa si mtoto wa rais wa kwanza, au ni vipi hapo ....... jinsi ulivyomuelewa.