Jeep grand cheeroke on sale.

Jeep grand cheeroke on sale.

TITOP002

Member
Joined
Aug 15, 2009
Posts
29
Reaction score
1

The car is in very good condition.
milages 81000.Automatic, petrol.
2001yr 4.0L .
Interested, email me at : maddidy@hotmail.co.uk
Price: 23,000,000/= No bargaining room.

Thank you.
 
vp mkuu kuhusu spea?....isije ikawa ni matiti ya nyoka
 
Spea zinapatikana hapa Bongo kwani Jeep ziko hapa Bongo tangu siku nyingi.
Na soko la magari lina hama kwa kasi sana toka Japan kuhamia Uk.Kutokana na currency issues.
yen imekwenda juu sana na TShs. inazidi kushuka sana.
 
vp mkuu kuhusu spea?....isije ikawa ni matiti ya nyoka

mimi ninayo, kwani ulikuwa unayahitaji? natania tu

sio siri dada preta spare zinaweza kuwepo lakini bei yake ikawa ni balaa
 
mimi ninayo, kwani ulikuwa unayahitaji? natania tu

sio siri dada preta spare zinaweza kuwepo lakini bei yake ikawa ni balaa

siku hizi kutokana na huu uchumi wetu inabidi (kwa sisi wengine) tukitaka gari tujali na uwepo wa spea.....nina rafiki yangu ana Opel Vita, hiyo gari inamdraivu kraize.....kwa kweli kama janga halijakukuta binafsi basi utajifunza kwa wenzio........hiyo ndio tunaita matiti za nyoka
 
siku hizi kutokana na huu uchumi wetu inabidi (kwa sisi wengine) tukitaka gari tujali na uwepo wa spea.....nina rafiki yangu ana Opel Vita, hiyo gari inamdraivu kraize.....kwa kweli kama janga halijakukuta binafsi basi utajifunza kwa wenzio........hiyo ndio tunaita matiti za nyoka
Leo nimejifunza msamiati mpya, "Matiti za nyoka". He he he!.
 
Spea zake zinapatikana duka gani Kariakoo? Tafadhali tupe maelezo zaidi sisi ambao tunafikiria kununua.
 
Spea zake zinapatikana duka gani Kariakoo? Tafadhali tupe maelezo zaidi sisi ambao tunafikiria kununua.

ndugu yangu duka hutokea ukisha inunua......mimi nadhani nitaendelea kuwaheshimu zaidi Toyota maana yalishanikumba.....ila utamu wa ngoma ingia uselebuke
 
Back
Top Bottom