Jeff Bezos afungue ofisi Africa na kuajiri watu wakupeleka bidhaa kwa wateja

Jeff Bezos afungue ofisi Africa na kuajiri watu wakupeleka bidhaa kwa wateja

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Miaka ya 90 DHL walikua na ofisi mikoani na waliajiri vijana wa kupeleka mizigo kwa wateja. Vijana walipewa pikipiki kubwa na walifanya kazi kwa ufanisi.

Amazon ni kampuni kubwa, ukiweza kufungua ofisi na kusimamia Uriah I wa makontena bandarini na wateja kupelekewa bidhaa zao mpaka nyumbani kama wanavyofanya Ulaya na Marekani watakapata faida sana.

Kutokana na kutokua na uhakika wa usafiri, Afrika wengi wanategemea bidhaa za China. Kama Amazon atapanua wigo wake Afrika ambana Mchina katika soko hili.

Bidhaa za China wengi tunazitumia kama last resort kama una uwezo wa kupata bidhaa za bora zaidi ni kheri kuongeza pesa kidogo kuzipata.
 
Ni kweli dada sky escalati
Kinachokatisha watu tamaa ya kununua bidhaa amazoni ni bei kubwa ya usafirishaji, unanunu simu laki nne usafirishaji unakuwa laki nane

Na sasa hivi tuna postcode mambo yatanoga
 
Hakuna soko africa, hakuna faida anayoweza pata ukilinganisha na uwekezaji.
 
kwani hawauzi rights za franchise maboss watumie hii fursa
 
Mnanunua wangapi huko ámazon? Maana amazon ni rejareja watatu wenye purchasing power ya kununua hata simu ya mil 1 Tanzania hamfiki 1000[emoji23] uma unatumia akina tecno.

Chukua Samsung hata used za laki 5 above in price pita maofisini unauza uone wanaozimudu. Unaweza rudi nazo home zote labda u apply mkopo. Ndio mtu ataweza nunua cash amazon..
 
Mnanunua wangapi huko ámazon? Maana amazon ni rejareja watatu wenye purchasing power ya kununua hata simu ya mil 1 Tanzania hamfiki 1000[emoji23] uma unatumia akina tecno.

Chukua Samsung hata used za laki 5 above in price pita maofisini unauza uone wanaozimudu. Unaweza rudi nazo home zote labda u apply mkopo. Ndio mtu ataweza nunua cash amazon..
Angalia hata nguo, bado tunavaa mitumba , na kuvaa mitumba ni reflection ya umasikini wa kutisha na low purchasig power
 
Miaka ya 90 DHL walikua na ofisi mikoani na waliajiri vijana wa kupeleka mizigo kwa wateja. Vijana walipewa pikipiki kubwa na walifanya kazi kwa ufanisi.

Amazon ni kampuni kubwa, ukiweza kufungua ofisi na kusimamia Uriah I wa makontena bandarini na wateja kupelekewa bidhaa zao mpaka nyumbani kama wanavyofanya Ulaya na Marekani watakapata faida sana.

Kutokana na kutokua na uhakika wa usafiri, Afrika wengi wanategemea bidhaa za China. Kama Amazon atapanua wigo wake Afrika ambana Mchina katika soko hili.

Bidhaa za China wengi tunazitumia kama last resort kama una uwezo wa kupata bidhaa za bora zaidi ni kheri kuongeza pesa kidogo kuzipata.
na hata kodi za bandarini, ninaamini kodi ya bandarini hapa bongo inatukosesha mahitaji mengi sana ya muhimu. kwani wakipinguza kodi tukaanza kuagiza bidhaa nyingi nje ambazo sio leo wala kesho tutatengeneza hapa kwamba useme tunalinda viwanda vyetu...kuna mmoja alitoa mfano wa magari, akasema wakipunguza kodi ya magari itawafanay watu wengi sana kuagiza na kumiliki magari na wao watakata kodi kubwa kwenye mafuta. ni akili tu. tumelinda sana viwanda vyetu vya nguo, ajabu yake tunavyovilinda ni vitenge na kanga ambazo wanaume hatuvai. na wakati huohuo hatuweki mazingira mazuri basi wawekezaje waje kuwekeza hapahapa, tunaishiishi tu alimradi.
 
na hata kodi za bandarini, ninaamini kodi ya bandarini hapa bongo inatukosesha mahitaji mengi sana ya muhimu. kwani wakipinguza kodi tukaanza kuagiza bidhaa nyingi nje ambazo sio leo wala kesho tutatengeneza hapa kwamba useme tunalinda viwanda vyetu...kuna mmoja alitoa mfano wa magari, akasema wakipunguza kodi ya magari itawafanay watu wengi sana kuagiza na kumiliki magari na wao watakata kodi kubwa kwenye mafuta. ni akili tu. tumelinda sana viwanda vyetu vya nguo, ajabu yake tunavyovilinda ni vitenge na kanga ambazo wanaume hatuvai. na wakati huohuo hatuweki mazingira mazuri basi wawekezaje waje kuwekeza hapahapa, tunaishiishi tu alimradi.
Kitu ninachowaza pia ni vibaka, bidhaa itabidi zikatiwe insurance, fikiria unaletewa iPhone 13 pro max na kijana wa bodaboda anaiketa akabwe na vibaka.
 
Back
Top Bottom