Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Tafuta maana ya methali hiyo... Haitumiki kwa unaofikiria ni wanyonge pekeeTrump unamuita mnyonge!?
hiyo misemo itumie uswahilini..
inatosha mazingira yenu....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta maana ya methali hiyo... Haitumiki kwa unaofikiria ni wanyonge pekeeTrump unamuita mnyonge!?
hiyo misemo itumie uswahilini..
inatosha mazingira yenu....
Huna uwezo wakuelewa kila jambo....Sijasema najuwa....hata hapo sijakuelewa
Kujuwa ndo kufanya nini? Au nawewe hujuwi
Wazungu hatuna methali wala vitendawiliTafuta maana ya methali hiyo... Haitumiki kwa unaofikiria ni wanyonge pekee
Nimekuelewa brotherSijasema auze, nimesema ukutaka kujua hajaingiza kiasi hicho cha pesa, na kujua thamani halisi ya hizo hisa, basi auze zote apate cash akaweke benki, hata wewe ukutaka kujua thamani ya gari lako,nlipeleke sokoni, hata wakikwambia lina thamani ya milioni 100,peleka sokoni uone lina fetch kiasi gani, na hiyo ndio thamani yake.
Alafu baadae muje kuwateka na kuwapa kesi za ukwepaji kodi..Serikali iruhusu watanzania kununua hisa kwenye makampuni ya nje Kama haya ya Amazon nk tutatajirika haraka na kuzalisha watanzania wengi matajiri
Hahahah...., daah...!!!!Uhujumu uchumi!
Ulianza lini biashara kodi yako mwaka uliyopita ulilipa kiasi gani nani ana kudai !
Cheti cha kuzaliwa unacho!?
Cha Baba na Babu yako!?
Umeunga juhudi kwa kiasi gani!
Unatokea mkoa gani!?
Tunahitaji hesabu zako za TRA za kuanzia mwaka 2001 adi tarehe ya leo!?
Na Gari unayo tembelea kwanini ulilipia ushuru kidogo wakati bei yake inatambulika ata kama ni used ulinunuwa!?
Bank una kiasi gani!
Pesa zako bank umezilipia kodi!?
Je mshahara wako umelipa kodi!?
JARIBU UONE NDIO UTAJUWA KWA NINI KUKU HAKOJOWI!
Mkuu sija ota...........!🙆🙆🙆Hahahah...., daah...!!!!
Tanzania si wakakope kwa Jeffrey jamani.
Hii lugha ya kiswahili ni ya kizungu kwan?Wazungu hatuna methali wala vitendawili