Jeff Bezos ni tajiri kuliko nchi ya Tanzania!!

Jeff Bezos ni tajiri kuliko nchi ya Tanzania!!

Kitu kama hujakiongezea Thamani kinakuwa hakina maana. Jamaa ni tajiri kuliko nchi yetu. Anaweza kuhudumia nchi yetu kwa bajeti ya sasa kwazaidi ya miaka kumi. Tena kwa cash.
Ni kweli hujui mlima kilimanjaro, unaliingizia Taifa pesa.
 
Kumbe ndo mmemaliza la saba kwenye shule zenu za kulipia afu mnakuja na ujinga wa kuanzisha anzisha thread hapa!! Nenda kadai fees zako.
 
Kitu kama hujakiongezea Thamani kinakuwa hakina maana. Jamaa ni tajiri kuliko nchi yetu. Anaweza kuhudumia nchi yetu kwa bajeti ya sasa kwazaidi ya miaka kumi. Tena kwa cash.
Huo utajiri wake upo bank au?
 
Wewe shuleni ulisoma vitini badala ya vitabu !! Madini yote, gesi,makaa ya mawe,bahati na maziwa,wanyama pori, misitu na vingine jamaa anatuzidi !! Acha ujinga.
Ngoja nikuambie. Utajiri wa nchi unamilikiwa na watu wake. Watanzania tupo milioni 60 ndiyo tunamiliki utajiri huo. Unafikiri utajiri wa mtu mmoja mmoja ukikusanywa, utajiri wa hao watu 60 m unafikiri utafika utajiri wa Bezos?

Unahesabu utajiri ambao haupo mkononi!!
 
Kuna utajiri wa serikali na utajiri wa nchi na utajiri wa taifa, mfano serikali ya Marekani inaweza kuishiwa fedha oct kama hawatachukua tahadhari ya haraka, haimanishi kwamba utajiri wa nchi umeisha , au taifa limeishiwa fedha.

So ni vizuri kutofautisha hivi vitu
 
Chukua mfano huu:
Wewe ni kibarua unapata shilingi 7000 kwa siku unanunua mahitaji ya familia, unakunywa chai asubuhi na milo ya mchana na jioni unaweza kumudu.

na unaishi kwenye nyumba ya kupanga. Hauna kiwanja wala baiskeli.

Mzee Maganga yupo kijijini ana shamba la ekari 100 hivi, ana mifugo mingi na familia ya watu 20 hivi. Anawalisha watu wote hao kutokana na mavuno ya shambani kwake. Na hana pesa mkononi.

Je kati yako na Mzee Maganga nani tajiri?

JIBU ni kuwa Mzee maganga ni tajiri mara zaidi yako japo hana hata miatano mfukoni ila ana assets ambazo wewe huna.

Usipime utajiri kwa kuangalia pesa (cash) na liabilities mfano magari.

Nchi ina rasilimali mhimu kama ardhi (km za mraba 947, 303 kwa Tanzania), watu (60+ million), maji ( maziwa, mito na bahari ), madini, misitu, wanyama (mbuga zote) n.k ambazo mtu binafsi hawezi kuzimiliki abadani!

Ulichochanganya wewe ni kungalia takwimu za pato la taifa ( GDP) ambalo halijumuishi assets!
 
Utajiri wa hawa jamaa ni wakinadharia zaidi.. Unakua translated interms of share value. Ukiangalia Kama matajiri wengi wa magharibi wanapata Tabu Sana kufanya conversation ya shares zao into hard cash wakati mwingine wanalazimika kuchukua very expensive loans to cover up expenses zao. Ibrahimovic ndie tajiri mwenye cash nyingi zaidi pamoja Na near money assets.kwahiyo huyo hawezi kuwa tajiri zaidi ya Tanzania kwanza hana cash money, pili asset portfolio yk iko zaidi kwny stocks/share Kwahiyo financing capacity yake ni ndogo sna kwa lugha nyepesi
 
Kumbe ndo mmemaliza la saba kwenye shule zenu za kulipia afu mnakuja na ujinga wa kuanzisha anzisha thread hapa!! Nenda kadai fees zako.
Utajiri wa watanzania wote, wanaomiliki nchi ya Tanzania, ukiujumlisha haufiki utajiri wa
Chukua mfano huu:
Wewe ni kibarua unapata shilingi 7000 kwa siku unanunua mahitaji ya familia, unakunywa chai asubuhi na milo ya mchana na jioni unaweza kumudu.

na unaishi kwenye nyumba ya kupanga. Hauna kiwanja wala baiskeli.

Mzee Maganga yupo kijijini ana shamba la ekari 100 hivi, ana mifugo mingi na familia ya watu 20 hivi. Anawalisha watu wote hao kutokana na mavuno ya shambani kwake. Na hana pesa mkononi.

Je kati yako na Mzee Maganga nani tajiri?

JIBU ni kuwa Mzee maganga ni tajiri mara zaidi yako japo hana hata miatano mfukoni ila ana assets ambazo wewe huna.

Usipime utajiri kwa kuangalia pesa (cash) na liabilities mfano magari.

Nchi ina rasilimali mhimu kama ardhi (km za mraba 947, 303 kwa Tanzania), watu (60+ million), maji ( maziwa, mito na bahari ), madini, misitu, wanyama (mbuga zote) n.k ambazo mtu binafsi hawezi kuzimiliki abadani!

Ulichochanganya wewe ni kungalia takwimu za pato la taifa ( GDP) ambalo halijumuishi assets!
Mzee Maganga anatumia hizo mali zake kuishi. Lakini sisi hatutumii hayo madini, maji, na rasilimali zingine tulizo nazo. Wala hatuzifanyi kuwa kitu chamaana. Jeff katuzidi utajiri.
 
Kweli nimeamini vyuo vyetu vinazalisha wachumi wa hovyo Sana yaani humu jf amekosekana mchumi wa kumsaidia huyu kijana akaondokana na hii dhana ya kuilinganisha utajiri wa nchi yetu na utajiri wa huyu mwamba (binafsi nakubali jamaa ni tajiri ila sio wa kuizidi nchi yetu )

Au hadi tumtafute mzee lipumba ambae akili yake imesha athiriwa na siasa na vilungu vya tanzania
 
Chukua mfano huu:
Wewe ni kibarua unapata shilingi 7000 kwa siku unanunua mahitaji ya familia, unakunywa chai asubuhi na milo ya mchana na jioni unaweza kumudu.

na unaishi kwenye nyumba ya kupanga. Hauna kiwanja wala baiskeli.

Mzee Maganga yupo kijijini ana shamba la ekari 100 hivi, ana mifugo mingi na familia ya watu 20 hivi. Anawalisha watu wote hao kutokana na mavuno ya shambani kwake. Na hana pesa mkononi.

Je kati yako na Mzee Maganga nani tajiri?

JIBU ni kuwa Mzee maganga ni tajiri mara zaidi yako japo hana hata miatano mfukoni ila ana assets ambazo wewe huna.

Usipime utajiri kwa kuangalia pesa (cash) na liabilities mfano magari.

Nchi ina rasilimali mhimu kama ardhi (km za mraba 947, 303 kwa Tanzania), watu (60+ million), maji ( maziwa, mito na bahari ), madini, misitu, wanyama (mbuga zote) n.k ambazo mtu binafsi hawezi kuzimiliki abadani!

Ulichochanganya wewe ni kungalia takwimu za pato la taifa ( GDP) ambalo halijumuishi assets!
Dah Saguda47 mtu wangu yani ghafla tu umeamua kutushushia nondo za hatarii na za kutosha istoshe umetema na madini makali sana yaliyojitosheleza.

Sagudaaaaaaaaa
 
Back
Top Bottom