Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Homa ya pambano la wana masumbwi Manny Pacquiao na Jeffrey Horn au Hornet kama anavyojulikana na mashabiki linazidi kupamba moto kila kukicha
Jeff ametamba kumsambaratisha Pack mapema sana kwa K.O ili kuondoa maneno kwamba yeye (Hornet) amependelewa maana pambano lao litafanyika Australia mahala ambapo Hornet alipotokea ,Hornet amekuwa ni mtu wa kulalama mara kwa mara kwamba ameonewa kila inapotokea amepigwa kwa point kama vile alipopigwa na Floyd na alipopigwa na Timothy Bradley
Jeffrey Horn (Hornet) mpaka sasa amepigana mapambano 17 na kati ya hayo mapambano 16 ameshinda na ametoka sare pambano moja
Na kati ya hayo 16 ,11 ameshinda kwa K.O
Hornet ni Orthodox
Na kwa upande wa Manny yeye amepigana mapambano 66 ameshinda 58 amepigwa mapambano 5 na ametoka sare mapambano 2 ,Pack yeye ni South Paw .
Pambano la Manny na Hornet litafanyika tar 2 July 2017 katika ukumbi wa Suncorp Stadium uliyopo Australia
Ingawaje 70% ya mashabiki wa Boxing wana imani kwamba Manny atashinda pambano hilo lakini 30% bado wana imani na Jeff kwamba ataibuka kidedea katika pambano hilo
Jeff Horn Boxer
Manny Pacquiao (Ngumi cherehani)
Jeff ametamba kumsambaratisha Pack mapema sana kwa K.O ili kuondoa maneno kwamba yeye (Hornet) amependelewa maana pambano lao litafanyika Australia mahala ambapo Hornet alipotokea ,Hornet amekuwa ni mtu wa kulalama mara kwa mara kwamba ameonewa kila inapotokea amepigwa kwa point kama vile alipopigwa na Floyd na alipopigwa na Timothy Bradley
Jeffrey Horn (Hornet) mpaka sasa amepigana mapambano 17 na kati ya hayo mapambano 16 ameshinda na ametoka sare pambano moja
Na kati ya hayo 16 ,11 ameshinda kwa K.O
Hornet ni Orthodox
Na kwa upande wa Manny yeye amepigana mapambano 66 ameshinda 58 amepigwa mapambano 5 na ametoka sare mapambano 2 ,Pack yeye ni South Paw .
Pambano la Manny na Hornet litafanyika tar 2 July 2017 katika ukumbi wa Suncorp Stadium uliyopo Australia
Ingawaje 70% ya mashabiki wa Boxing wana imani kwamba Manny atashinda pambano hilo lakini 30% bado wana imani na Jeff kwamba ataibuka kidedea katika pambano hilo
Manny Pacquiao (Ngumi cherehani)