Hakuna kitu mule..ujuvi tu na uzungu mwingi..mpira wenyewe hajuiUyo jamaa noma sana yupo full package
Huyu jamaa mentality na attitude yake ni mbovu sanaKwa kweli mie nakereka mno kumsikia huyu jamaa kwenye vipindi vya michezo radio E FM ya Dar...
Tatizo kasoma Kenya na SAKwa kweli mie nakereka mno kumsikia huyu jamaa kwenye vipindi vya michezo radio E FM ya Dar.
Huyu ndo anajifanya mchambuzi wa michezo hasa soka hapa nchini lakini hata neno jepesi tu la Kiswahili yeye atalitamka Kiinglishi. Anajimwambafai kutaka tumuone kazowea Uinglishi sana au vipi sijui, watangazaji wengi wanaifahamu lugha hiyo lakini nadra mno kumsikia akijikokotoa kutafuta neno la Kiinglishi na hata baadhi ya wachambuzi wenzake.
Nausihi uongozi wa hiyo radio kumshauri apunguze kujimwambafai kwa lugha ya wenzetu kwani maneno ya Kiswahili yapo mengi tu kwenye soka.
Aksanteni.
Muongo wewe,Geofrey Lea kasoma Green Acres na Tumain.Tatizo kasoma Kenya na SA
Ni utoto tu akikua ataacha.Kwa kweli mie nakereka mno kumsikia huyu jamaa kwenye vipindi vya michezo radio E FM ya Dar.
Huyu ndo anajifanya mchambuzi wa michezo hasa soka hapa nchini lakini hata neno jepesi tu la Kiswahili yeye atalitamka Kiinglishi. Anajimwambafai kutaka tumuone kazowea Uinglishi sana au vipi sijui, watangazaji wengi wanaifahamu lugha hiyo lakini nadra mno kumsikia akijikokotoa kutafuta neno la Kiinglishi na hata baadhi ya wachambuzi wenzake.
Nausihi uongozi wa hiyo radio kumshauri apunguze kujimwambafai kwa lugha ya wenzetu kwani maneno ya Kiswahili yapo mengi tu kwenye soka.
Aksanteni.
alianza kazi tbcShida kaajiriwa kwa connection na siku hizi wanadanganyana eti "kipaji"
elimu imewekwa kando,sifa ya kuajiriwa saivi imegeuka eti "kipaji" kisha
elimu ndio ifate,muulize uandishi habari alisomea wapi na mwaka gani?
na alianza fanya kazi media gani kabla ya kuwa pale alipo,majibu atakayo
kupa ndio utajua siku hizi wenye elimu za fani husika wameachwa nyuma
wanaajiriwa watu kutokana na muonekano wao,ushawishi wao,nk,tusubiri 2040 tuone tutakua wapi.
huyu jamaa ana elements za u slay queen, ata kule tweeter utadhan hajawah kuishi bongo na lugha mama inamsumbua, sijui baadhi ya wabongo tunakwama wapi!Kwa kweli mie nakereka mno kumsikia huyu jamaa kwenye vipindi vya michezo radio E FM ya Dar.
Huyu ndo anajifanya mchambuzi wa michezo hasa soka hapa nchini lakini hata neno jepesi tu la Kiswahili yeye atalitamka Kiinglishi. Anajimwambafai kutaka tumuone kazowea Uinglishi sana au vipi sijui, watangazaji wengi wanaifahamu lugha hiyo lakini nadra mno kumsikia akijikokotoa kutafuta neno la Kiinglishi na hata baadhi ya wachambuzi wenzake.
Nausihi uongozi wa hiyo radio kumshauri apunguze kujimwambafai kwa lugha ya wenzetu kwani maneno ya Kiswahili yapo mengi tu kwenye soka.
Aksanteni.
Bila kuongea lugha ya malkia atajuaje Kama mnajua Kama amesoma M.TcKwa kweli mie nakereka mno kumsikia huyu jamaa kwenye vipindi vya michezo radio E FM ya Dar.
Huyu ndo anajifanya mchambuzi wa michezo hasa soka hapa nchini lakini hata neno jepesi tu la Kiswahili yeye atalitamka Kiinglishi. Anajimwambafai kutaka tumuone kazowea Uinglishi sana au vipi sijui, watangazaji wengi wanaifahamu lugha hiyo lakini nadra mno kumsikia akijikokotoa kutafuta neno la Kiinglishi na hata baadhi ya wachambuzi wenzake.
Nausihi uongozi wa hiyo radio kumshauri apunguze kujimwambafai kwa lugha ya wenzetu kwani maneno ya Kiswahili yapo mengi tu kwenye soka.
Aksanteni.