Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Kwa kweli mie nakereka mno kumsikia huyu jamaa kwenye vipindi vya michezo radio E FM ya Dar.
Huyu ndo anajifanya mchambuzi wa michezo hasa soka hapa nchini lakini hata neno jepesi tu la Kiswahili yeye atalitamka Kiinglishi. Anajimwambafai kutaka tumuone kazowea Uinglishi sana au vipi sijui, watangazaji wengi wanaifahamu lugha hiyo lakini nadra mno kumsikia akijikokotoa kutafuta neno la Kiinglishi na hata baadhi ya wachambuzi wenzake.
Nausihi uongozi wa hiyo radio kumshauri apunguze kujimwambafai kwa lugha ya wenzetu kwani maneno ya Kiswahili yapo mengi tu kwenye soka.
Aksanteni.
Huyu ndo anajifanya mchambuzi wa michezo hasa soka hapa nchini lakini hata neno jepesi tu la Kiswahili yeye atalitamka Kiinglishi. Anajimwambafai kutaka tumuone kazowea Uinglishi sana au vipi sijui, watangazaji wengi wanaifahamu lugha hiyo lakini nadra mno kumsikia akijikokotoa kutafuta neno la Kiinglishi na hata baadhi ya wachambuzi wenzake.
Nausihi uongozi wa hiyo radio kumshauri apunguze kujimwambafai kwa lugha ya wenzetu kwani maneno ya Kiswahili yapo mengi tu kwenye soka.
Aksanteni.