Christopher Wallace
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,479
- 3,788
- Thread starter
- #101
Kuelekea mchezo wa kesho...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hujajifunza tu kila siku unaangukia pua( kifudifudi)?Kuelekea mchezo wa kesho...
Hata mechi ya Simba na AS Vita mlisema atachezea 5 ugenini. HIVI HAMJIFUNZI MKABADILIKA NAMNA YENU YA KUFIKIRI. Huwa hamsomi nyakati.Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.
Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.
Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
MUDA UTASEMA TU, YAJAYO YANAFURAHISHA.. HAPO ROBO FINAL MWISHOmabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.
Hapo robo fainali, au mbele yake kidogo. yani watu wanatamani pale panaposoma el merreikh pasome simba. ngojeni kidogo tuna shughuli nyingi kidogoMUDA UTASEMA TU, YAJAYO YANAFURAHISHA.. HAPO ROBO FINAL MWISHO
sawaHapo robo fainali, au mbele yake kidogo. yani watu wanatamani pale panaposoma el merreikh pasome simba. ngojeni kidogo tuna shughuli nyingi kidogo
Tena uzi huu tutautumia kama reference wakati simba akikutana na vipigo vizito kwenye ligi ya mabingwa
Mara ya mwisho yanga kufuzu hatua ya makundi ni liniMUDA UTASEMA TU, YAJAYO YANAFURAHISHA.. HAPO ROBO FINAL MWISHO
Mganga njaa tu hana akili kichwani, siku hizi wachambuzi wameacha kazi ya kuchmbua wamegeuka waganga wa jadi (wapiga ramli)Jeff lea ndo nani?......Eti nguli wa uchambuzi
Tatizo wachambuzi wetu ni bure kabisa hivi anadhani mipango ya kucheza na dosoma jiji ni sawa na plan ya kucheza na Vita Club?Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.
Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.
Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
Baada ya robo fainali,aaah huyo simba nusu fainali mwisho,, baada ya hapo hata akifika fainali kombe hachukui.Akichukua kombe utaskia alikuwa anabebwa,Mo alikuwa anahonga waamuzi.MUDA UTASEMA TU, YAJAYO YANAFURAHISHA.. HAPO ROBO FINAL MWISHO