Jeff Lea: Simba hamfiki mbali kwa ulinzi ule

Jeff Lea: Simba hamfiki mbali kwa ulinzi ule

Kibongobongo pundit yeyote akiongea kitu unachopenda kukisikia anakuwa nguli hata kama unajua kabisa ni porojo tu.
 
H
Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.

Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.

Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
Hata mechi ya Simba na AS Vita mlisema atachezea 5 ugenini. HIVI HAMJIFUNZI MKABADILIKA NAMNA YENU YA KUFIKIRI. Huwa hamsomi nyakati.
 
Akiongea leo asubuhi katika kipindi cha michezo cha Efm, mchambuzi nguli wa mpira Jeff Lea asema kwa safu ile ya ulinzi wa Simba dhidi ya Dodoma Jiji jana, mabeki wao wameonesha udhaifu mkubwa sana hivyo kama watakutana na timu yenye washambuliaji wazuri basi hawatafiki mbali katika ligi ya mabingwa Afrika.

Mimi namuunga mkono kwa 100% kwa mbaaaali naona mtu akienda kuchezea goli 5 kwa kila mechi ya ugenini.

Msijenge chuki, fanyieni kazi mapungufu yenu Simba
Tatizo wachambuzi wetu ni bure kabisa hivi anadhani mipango ya kucheza na dosoma jiji ni sawa na plan ya kucheza na Vita Club?
 
MUDA UTASEMA TU, YAJAYO YANAFURAHISHA.. HAPO ROBO FINAL MWISHO
Baada ya robo fainali,aaah huyo simba nusu fainali mwisho,, baada ya hapo hata akifika fainali kombe hachukui.Akichukua kombe utaskia alikuwa anabebwa,Mo alikuwa anahonga waamuzi.

Ni heshima iliyotukuka kuona jinsi Utopoloni mnavyoteseka. Ni heshima kubwa.

Tangu mechi ya kwanza simba atachezea tano tano kote mmefeli, cha kushangaza mlivyo na akili za kenge hamjifunzi.

Kuna siku kila mtu atashabikia Simba.

Nb:
Naskia Molinga anarudi utopoloni, striker hatari. Yani hamko siriaz. Duuuh! 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom