Jeff Lea: Simba hamfiki mbali kwa ulinzi ule

Nasoma comments zangu mwenyewe nafsi inaniuma, ni km nililichuria chama langu pendwa..

Kule sauzi tulifedheheka ila naimani wakiweka akili saww, kila jambo linawezekana
 
Makosa yametugharimu saana haya.
 
Makisa yametugharimu saana haya.
Mimi sikupenda sana simba ipangwe na Kaizer Chiefs kwa sababu ya timu kufanana sana aina ya mpira zinaocheza hata kasi pia na set pieces niliamini wangetupa wakati mgumu sana.

Tungepangwa na CL Belouzdad au MC Alger sasa hivi tungekuwa tunachekelea Semi final.

Ila ndiyo hivyo maombi ya wengi yalikuwa Kaizer Chiefs.
 
Ndio basi tena, kuamgalia msimu ujao sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…