Jehanam utakaa karibu nani ukisilizia mchongo akutoroshe?

Jehanam utakaa karibu nani ukisilizia mchongo akutoroshe?

FK21

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2019
Posts
8,600
Reaction score
10,760
Wakubwa kati ya hao masterplans nani unaweza kumuamini ili akutoroshe sehemu ulipo?

Njoo utuambie
IMG_20220824_121015.jpg
 
Hakuna cha Jehanam subirini kuliwa tu na funza mkarutubishe ardhi tu.
 
Jehanamu kubwa kuliko ukubwa wa jua sembuse dunia. Utomjua mtu
 
Natamani kua malaika,natamani kua mtotooooooooooo-Lady Jaydee.
 
Hapa ni sawa na kutaka stephen segal akusindikize Ukrane ukatalii sababu ya ulinzi.
 
Wala mimi sita angaikIa kutoroka kwanza, nitaangaika kuwatafuta mafundi AC.
 
Back
Top Bottom