Jela miaka 15 kwa kujaribu kumbaka bibi kizee miaka 80

Jela miaka 15 kwa kujaribu kumbaka bibi kizee miaka 80

Kidagaa kimemwozea

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2018
Posts
3,680
Reaction score
6,554




Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemuhukumu kwenda jela miaka 15 John Swaki Fokasi, kwa kosa la kujaribu kumbaka bibi kizee wa miaka 80.

Mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Aprili 03, 2024 huko Tulieni mashambani majira ya saa sita usiku alipomvamia bibi kizee huyo kwenye nyumba aliyokuwa amejihifadhi na kuanza purukushani za kutaka kumuingilia kinguvu bila ridhaa yake, mpaka bibi kuzee huyo alipojiokoa kwa kumkata panga

Soma zaidi zaidi JELA MIAKA 15 KWA KUJARIBU KUMBAKA BIBI KIZEE MIAKA 80
 




Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemuhukumu kwenda jela miaka 15 John Swaki Fokasi, kwa kosa la kujaribu kumbaka bibi kizee wa miaka 80.

Mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Aprili 03, 2024 huko Tulieni mashambani majira ya saa sita usiku alipomvamia bibi kizee huyo kwenye nyumba aliyokuwa amejihifadhi na kuanza purukushani za kutaka kumuingilia kinguvu bila ridhaa yake, mpaka bibi kuzee huyo alipojiokoa kwa kumkata panga

Soma zaidi zaidi JELA MIAKA 15 KWA KUJARIBU KUMBAKA BIBI KIZEE MIAKA 80
Bibi kizee akamkata panga?😁😂😂
 
😂😂😂😂😂 kuna mtu kauziwa mbuz kwenye gunia hapa.
 
Kumbe bibi wa 80 yrs ana uwezo mzuri wa kumkabili kijana!! í ¾í»¢ tena kwakutumia silaha, pongezi zimfikie huyo ajuza.í ¾í»¡
Kuna Wazee wanazeeka na nguvu zao.
 
Mimi ningekuwa mhariri wa gazeti ningeandiak "NYEGE KWA BIBI KIZEE ZAMPELEKEA KUNYEA NDOO NA KUCHEZEWA KINYEO"
Naombeni kura zenu wakuu
 
Mm




Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemuhukumu kwenda jela miaka 15 John Swaki Fokasi, kwa kosa la kujaribu kumbaka bibi kizee wa miaka 80.

Mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Aprili 03, 2024 huko Tulieni mashambani majira ya saa sita usiku alipomvamia bibi kizee huyo kwenye nyumba aliyokuwa amejihifadhi na kuanza purukushani za kutaka kumuingilia kinguvu bila ridhaa yake, mpaka bibi kuzee huyo alipojiokoa kwa kumkata panga

Soma zaidi zaidi JELA MIAKA 15 KWA KUJARIBU KUMBAKA BIBI KIZEE MIAKA 80
Mmmmh!
Is it true or fabricated Case?

Miaka 80!!?

Kama ni kweli, then let him reap what he sow.
 
Mimi ningekuwa mhariri wa gazeti ningeandiak "NYEGE KWA BIBI KIZEE ZAMPELEKEA KUNYEA NDOO NA KUCHEZEWA KINYEO"
Naombeni kura zenu wakuu
😅
 
bibi kizee wa miaka 80 kumkata na panga.
huyu jamaa kauziwa mbuzi kwenye gunia.

jaribia la kubaka, anaweza akabambikiwa yeyote yule na akahukumiwa.
 




Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemuhukumu kwenda jela miaka 15 John Swaki Fokasi, kwa kosa la kujaribu kumbaka bibi kizee wa miaka 80.

Mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Aprili 03, 2024 huko Tulieni mashambani majira ya saa sita usiku alipomvamia bibi kizee huyo kwenye nyumba aliyokuwa amejihifadhi na kuanza purukushani za kutaka kumuingilia kinguvu bila ridhaa yake, mpaka bibi kuzee huyo alipojiokoa kwa kumkata panga

Soma zaidi zaidi JELA MIAKA 15 KWA KUJARIBU KUMBAKA BIBI KIZEE MIAKA 80
Ila huyu ni **** kabisa...Yaani bibi ndo kamkata na panga....
 
Back
Top Bottom