Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Upwiru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo haya yanachanganya sana , ule utani utani unaweza jikuta upo hatarini .Mm
Mmmmh!
Is it true or fabricated Case?
Miaka 80!!?
Kama ni kweli, then let him reap what he sow.
Usikute jamaa alimchukulia poa huyo bibi kama wewe unavyomchukulia poa akaishia kupigwa panga.bibi kizee wa miaka 80 kumkata na panga.
huyu jamaa kauziwa mbuzi kwenye gunia.
jaribia la kubaka, anaweza akabambikiwa yeyote yule na akahukumiwa.
Panga la mkononi na kichwani ndivyo vilivyo mfungua huyo jamaa. Obviously alikili kosa Ndiyo maana Mh Hakimu a kampiga mvua hizo 15 chap chapbibi kizee wa miaka 80 kumkata na panga.
huyu jamaa kauziwa mbuzi kwenye gunia.
jaribia la kubaka, anaweza akabambikiwa yeyote yule na akahukumiwa.
NdioIla huyu ni **** kabisa...Yaani bibi ndo kamkata na panga....
ange chapwa tu viboko maana hakutenda kosa lenyewe. kujaza tu watu jela bila sababu ya msingi.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Lindi, imemuhukumu kwenda jela miaka 15 John Swaki Fokasi, kwa kosa la kujaribu kumbaka bibi kizee wa miaka 80.
Mtuhumiwa huyo alitenda kosa hilo Aprili 03, 2024 huko Tulieni mashambani majira ya saa sita usiku alipomvamia bibi kizee huyo kwenye nyumba aliyokuwa amejihifadhi na kuanza purukushani za kutaka kumuingilia kinguvu bila ridhaa yake, mpaka bibi kuzee huyo alipojiokoa kwa kumkata panga
Soma zaidi zaidi JELA MIAKA 15 KWA KUJARIBU KUMBAKA BIBI KIZEE MIAKA 80
Duhbibi kizee wa miaka 80 kumkata na panga.
huyu jamaa kauziwa mbuzi kwenye gunia.
jaribia la kubaka, anaweza akabambikiwa yeyote yule na akahukumiwa.
Sana lo
Huwezi kupata kura kwani unayoongelea hayana uzuri wowote, bali kudhalilishana!Mimi ningekuwa mhariri wa gazeti ningeandiak "NYEGE KWA BIBI KIZEE ZAMPELEKEA KUNYEA NDOO NA KUCHEZEWA KINYEO"
Naombeni kura zenu wakuu
SoC04 - Serikali iwaunganishie wananchi umeme bure, wakatwe kwenye luku. TASAF iweke utaratibu wa kuzilipia kaya masikini
Tanzania tuitakayo baada ya miaka mitatu SERIKALI IWAUNGANISHIE WANANCHI UMEME BURE, WAKATWE KWENYE LUKU, KAYA MASIKINI TASAF IWEKE UTARATIBU WA KUWALIPIA Gharama za kuunganishiwa Umeme ni Kubwa sana kwa mujibu wa Tovuti rasmi ya Tanesco imeweka gharama za kuunganishiwa umeme ni kama ifuatavyo...www.jamiiforums.com
sawaHuwezi kupata kura kwani unayoongelea hayana uzuri wowote, bali kudhalilishana!
Si nasikia mwanamke akizeeka inarudi kuwa kama mtoto inabana eti !