Jellyfish kiumbe pekee asiyeweza kufa.

Jellyfish kiumbe pekee asiyeweza kufa.

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Sio jellyfish wote hawafi ila kuna huyo kitaaluma anaitwa Turritopsis dohrnii yeye pia huanza maisha kama lava, inayoitwa planula, ambayo hukua kutoka kwa yai lililorutubishwa. Planula huogelea mara ya kwanza, kisha hukaa kwenye sakafu ya bahari na kukua katika koloni kisha hutokeza medusa hii inayofanana kijeni na wanyama tunaowatambua kama jellyfish ambao hukua hadi kuwa matured baada ya wiki chache.

Akiwa mkubwa huyu Turritopsis dohrnii ana upana wa takriban milimita 4.5.. Viumbe hawa wadogo wana ujuzi wa ajabu wa kuishi.wanaweza kukabiliana na uharibifu wa kimwili au hata njaa, wanarudi nyuma katika mchakato wao wa maendeleo ya ukuaji na kubadilisha tena kuwa polyp. Katika mchakato unaoonekana kama kutokufa, koloni ya polipu iliyozaliwa mara ya pili huchipuka na kutoa Tena medusa. tukio hili lilipoonwa kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1990, spishi hiyo ikaitwa “jellyfish asiyeweza kufa.
 

Attachments

  • images (14).jpeg
    images (14).jpeg
    44.9 KB · Views: 3
  • images (10).jpeg
    images (10).jpeg
    51.1 KB · Views: 3
Kama ni yule anayeitwa immortal jerrfish kweli, ila wengi wao hauishi hata miezi 4 tu. Kundi kubwa hauishi miezi 6 mpaka mwaka. Tunasubili wataalamu wa Stemcell engineering wafanye mambo wa tuwekee nasi binadamu tuishi angalau miaka 200.
 
Jelly fish Ndiyo kiumbe mwenye sumu Kali kuliko wote .
Kiuhalisia wanyama wa baharini wanaishi Miaka mingi sana sijui kuna Siri gani Kwenye bahari , kuna nyangumi alizaliwa Miaka 400 iliyopita bado yupo hai na Kobe inasemekana anapiga zaidi ya Miaka 200.

Wajapani chakula chao ni cha baharini wanaishi Miaka mingi sana bila magonjwa ya presha nk ni miongoni mwa nchi yenye wezee wengi !
 
Jelly fish Ndiyo kiumbe mwenye sumu Kali kuliko wote .
Kiuhalisia wanyama wa baharini wanaishi Miaka mingi sana sijui kuna Siri gani Kwenye bahari , kuna nyangumi alizaliwa Miaka 400 iliyopita bado yupo hai na Kobe inasemekana anapiga zaidi ya Miaka 200.

Wajapani chakula chao ni cha baharini wanaishi Miaka mingi sana bila magonjwa ya presha nk ni miongoni mwa nchi yenye wezee wengi !
Utanifanya nianze kula pweza nusu kilo kila siku
 
Huu ni mfano wa mwanadamu tofauti ni moja tu kwamba mwanadam haezi kumbuka
Exactly na huo ndo ukweli nikisoma kwenye Bhagavad Gita..
Chapter 2:22

वाससजीणनयथावहाय नवानगणातनरोऽपरािण। तथाशरीरािणवहायजीणययानसयातनवानही॥२२॥

Au inatamkwa..

na jāyate mriyate vā kadācin
nāyaṁ bhūtvā bhavitā vā na bhūyaḥ
ajo nityaḥ śāśvato 'yaṁ purāṇo
na hanyate hanyamāne śarīre

Tafsiri:

"The soul is never born nor does it die; nor having once existed, does it ever cease to be. The soul is without birth, eternal, immortal, and ageless. It is not destroyed when the body is destroyed."


Na hata ukiangalia kipindi krishna alipokuwa anaongea na arjun alisema maneno hayo pia..

Bhagavad gita: chapter 4 verses 2-4

This supreme Knowledge was thus received through the chain of disciplic succession, and the saintly kings understood it in that way.

But in course of time the succession was broken, and therefore the knowledge as it is appears to be lost.

That very ancient knowledge of the relationship with the Supreme God is today told by Me to you because you are My devotee as well as My friend; i told this knowledge to vivasvan (sun) and then was given to Manu by Sun..

Arjun said,Many have seen your Birth and your Mother still alive and live among us,how can you said that you instructed this knowledge to vivasvan and you were born many years After him?

lord krisna answer, both you and i have many birth and i remembered them all but you dont remember ,verily before vivasvan born i was...

Kwa Kiswahili..

( Hii ni elimu Takatifu ambayo imekuwa ikirithishwa kutoka kizazi mpaka kizazi yenye masimulizi/mapokeo ya wale waliopewa,Na wafalme watakatifu ambayo inaeleweka hivyo..

lakini kuna muda ilipata Hitilafu katika uwasilishaji wake kwahyo elimu hii ilipotea hii ndiyo nayokufundisha wewe kwa sababu ni mtiifu kwangu na mwaminifu kama nilivyomfundisha vivasvan na yeye akamdundisha Manu..

Arjuni akasema, watu wengi wameona Ukizaliwa na mama yako bado anaishi miongoni mwetu ,

Unasemaje basi kuw umefundisha elimu hii kwa Vivasvan wakati kazaliwa miaka mingi ilopita..

Krishna akajibu,Wote mimi na wewe tumeishi miaka mingi mimi nakumbuka maisha yote ila wewe hukumbuki niamini kuwa
kabla ya vivasvan hajakuwepo mimi nilikuwepo..)

So we all existed Before and will continue to..
ila hatuwezi kukumbuka
 
Sema yeye huwa anaishi kwa life cycle.....life span end and restart for a period.
 
Jelly fish Ndiyo kiumbe mwenye sumu Kali kuliko wote .
Kiuhalisia wanyama wa baharini wanaishi Miaka mingi sana sijui kuna Siri gani Kwenye bahari , kuna nyangumi alizaliwa Miaka 400 iliyopita bado yupo hai na Kobe inasemekana anapiga zaidi ya Miaka 200.

Wajapani chakula chao ni cha baharini wanaishi Miaka mingi sana bila magonjwa ya presha nk ni miongoni mwa nchi yenye wezee wengi !
Wana hasara! watu inatakiwa wafe wengine wapya waje.

Sio unang'ang'ania duniani bila msingi wwte
 
Exactly na huo ndo ukweli nikisoma kwenye Bhagavad Gita..
Chapter 2:22

वाससजीणनयथावहाय नवानगणातनरोऽपरािण। तथाशरीरािणवहायजीणययानसयातनवानही॥२२॥

Au inatamkwa..

na jāyate mriyate vā kadācin
nāyaṁ bhūtvā bhavitā vā na bhūyaḥ
ajo nityaḥ śāśvato 'yaṁ purāṇo
na hanyate hanyamāne śarīre

Tafsiri:

"The soul is never born nor does it die; nor having once existed, does it ever cease to be. The soul is without birth, eternal, immortal, and ageless. It is not destroyed when the body is destroyed."


Na hata ukiangalia kipindi krishna alipokuwa anaongea na arjun alisema maneno hayo pia..

Bhagavad gita: chapter 4 verses 2-4

This supreme Knowledge was thus received through the chain of disciplic succession, and the saintly kings understood it in that way.

But in course of time the succession was broken, and therefore the knowledge as it is appears to be lost.

That very ancient knowledge of the relationship with the Supreme God is today told by Me to you because you are My devotee as well as My friend; i told this knowledge to vivasvan (sun) and then was given to Manu by Sun..

Arjun said,Many have seen your Birth and your Mother still alive and live among us,how can you said that you instructed this knowledge to vivasvan and you were born many years After him?

lord krisna answer, both you and i have many birth and i remembered them all but you dont remember ,verily before vivasvan born i was...

Kwa Kiswahili..

( Hii ni elimu Takatifu ambayo imekuwa ikirithishwa kutoka kizazi mpaka kizazi yenye masimulizi/mapokeo ya wale waliopewa,Na wafalme watakatifu ambayo inaeleweka hivyo..

lakini kuna muda ilipata Hitilafu katika uwasilishaji wake kwahyo elimu hii ilipotea hii ndiyo nayokufundisha wewe kwa sababu ni mtiifu kwangu na mwaminifu kama nilivyomfundisha vivasvan na yeye akamdundisha Manu..

Arjuni akasema, watu wengi wameona Ukizaliwa na mama yako bado anaishi miongoni mwetu ,

Unasemaje basi kuw umefundisha elimu hii kwa Vivasvan wakati kazaliwa miaka mingi ilopita..

Krishna akajibu,Wote mimi na wewe tumeishi miaka mingi mimi nakumbuka maisha yote ila wewe hukumbuki niamini kuwa
kabla ya vivasvan hajakuwepo mimi nilikuwepo..)

So we all existed Before and will continue to..
ila hatuwezi kukumbuka
Kuna jamaa yangu alisoma India anasema wahindi wanaamini sana hii kitu, kwamba ukifa lazima utazaliwa tena kiasi kwamba watu kujiua ni jambo la kawaida.
 
kwahiyo
Sio jellyfish wote hawafi ila kuna huyo kitaaluma anaitwa Turritopsis dohrnii yeye pia huanza maisha kama lava, inayoitwa planula, ambayo hukua kutoka kwa yai lililorutubishwa. Planula huogelea mara ya kwanza, kisha hukaa kwenye sakafu ya bahari na kukua katika koloni kisha hutokeza medusa hii inayofanana kijeni na wanyama tunaowatambua kama jellyfish ambao hukua hadi kuwa matured baada ya wiki chache.

Akiwa mkubwa huyu Turritopsis dohrnii ana upana wa takriban milimita 4.5.. Viumbe hawa wadogo wana ujuzi wa ajabu wa kuishi.wanaweza kukabiliana na uharibifu wa kimwili au hata njaa, wanarudi nyuma katika mchakato wao wa maendeleo ya ukuaji na kubadilisha tena kuwa polyp. Katika mchakato unaoonekana kama kutokufa, koloni ya polipu iliyozaliwa mara ya pili huchipuka na kutoa Tena medusa. tukio hili lilipoonwa kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1990, spishi hiyo ikaitwa “jellyfish asiyeweza kufa.
kwahiyo yale ambayo tulikua tukiyakuta kwenye fukwe za badeco beach tukiwa shule kule bagamoyo wakati wa kuupwa na kujaa kwa maji ya bahari, yanafanana kama masahani colourless transparency ya barafu zilizonona halafu soft, tuliyageuza kuona walau hata pua au mdomo wake, ni majelfishi yaliyojifanya yamekufa sio? 🐒
 
Exactly na huo ndo ukweli nikisoma kwenye Bhagavad Gita..
Chapter 2:22

वाससजीणनयथावहाय नवानगणातनरोऽपरािण। तथाशरीरािणवहायजीणययानसयातनवानही॥२२॥

Au inatamkwa..

na jāyate mriyate vā kadācin
nāyaṁ bhūtvā bhavitā vā na bhūyaḥ
ajo nityaḥ śāśvato 'yaṁ purāṇo
na hanyate hanyamāne śarīre

Tafsiri:


"The soul is never born nor does it die; nor having once existed, does it ever cease to be. The soul is without birth, eternal, immortal, and ageless. It is not destroyed when the body is destroyed."


Na hata ukiangalia kipindi krishna alipokuwa anaongea na arjun alisema maneno hayo pia..

Bhagavad gita: chapter 4 verses 2-4

This supreme Knowledge was thus received through the chain of disciplic succession, and the saintly kings understood it in that way.

But in course of time the succession was broken, and therefore the knowledge as it is appears to be lost.

That very ancient knowledge of the relationship with the Supreme God is today told by Me to you because you are My devotee as well as My friend; i told this knowledge to vivasvan (sun) and then was given to Manu by Sun..

Arjun said,Many have seen your Birth and your Mother still alive and live among us,how can you said that you instructed this knowledge to vivasvan and you were born many years After him?

lord krisna answer, both you and i have many birth and i remembered them all but you dont remember ,verily before vivasvan born i was...

Kwa Kiswahili..

( Hii ni elimu Takatifu ambayo imekuwa ikirithishwa kutoka kizazi mpaka kizazi yenye masimulizi/mapokeo ya wale waliopewa,Na wafalme watakatifu ambayo inaeleweka hivyo..


lakini kuna muda ilipata Hitilafu katika uwasilishaji wake kwahyo elimu hii ilipotea hii ndiyo nayokufundisha wewe kwa sababu ni mtiifu kwangu na mwaminifu kama nilivyomfundisha vivasvan na yeye akamdundisha Manu..

Arjuni akasema, watu wengi wameona Ukizaliwa na mama yako bado anaishi miongoni mwetu ,

Unasemaje basi kuw umefundisha elimu hii kwa Vivasvan wakati kazaliwa miaka mingi ilopita..

Krishna akajibu,Wote mimi na wewe tumeishi miaka mingi mimi nakumbuka maisha yote ila wewe hukumbuki niamini kuwa
kabla ya vivasvan hajakuwepo mimi nilikuwepo..)

So we all existed Before and will continue to..
ila hatuwezi kukumbuka
Hii imeendaa kakisa, we have done this in million times,

Nilipata dondoo kuhusu watchers, gregorians, awakened ones imenitikisa Sana, acha ne share na ww wenda unamajibu ya ukombozi,
 
Hii imeendaa kakisa, we have done this in million times,

Nilipata dondoo kuhusu watchers, gregorians, awakened ones imenitikisa Sana, acha ne share na ww wenda unamajibu ya ukombozi,
Kuna vitu vingi sana Mwanadamu ambaye Hayuko Enlightened havijui na walio katika Awakening wengi ni waoga kushare kwa hiyo bado kuna giza kubwa sana
 
Back
Top Bottom