cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Kabisa aisee mi imani yangu imeanza kurudi kwa hili shindano aisee, sema mwanzo tu, asikate tamaa wala kusikiliza kina nyumbu ka kina wolpernaamini akijipanga zaidi na kutofuata yale walioyafanya akina Lundenga, Miss Tanzania itapata hadhi na hata wadhamini pia watapatikana wa maana..... ajipange zaidi ya hapa