Jembe ni Jembe na sakata la Hamornize kuhama WCB

Na kwa taarifa tu radio ya jembe ni jembe kusaga hapo ana hisa zake na hata Rock city radio ana hisa zake pia.

Na kusaga mwenyewe alishasema radio nyingi za vijana mkono wake unahusika hapo.
Anahusika kwa kuwa inspire vijana au kuwakuza yeye kwenye hiyo tasnia jamani khaaaa! Basi kila radio ni ya kusaga sasa muoneeni huruma.
.
Kituo cha radio kuwa hewani kwa mwezi sio chini ya 23 million yani hapo iko hewani tu bado gharama zingine za uendeshaji hata kama anazo pesa loh! Tv station anazo mbili na Tv kuwa hewani kwa mwezi bila magharama mengine ni 28 million..
.
Ana coconut fm, choice fm, clouds tv, clouds plus hapa karibia mia inamtoka kwa mwezi ili viwe tu hewani, haya mnasema Jembe ni jembe yake, wasafi fm na tv zake bado za arusha mtasema zake si atakuwa masikini sasa badala ya kuwa tajiri.
.
Millard Ayo akianzisha radio yake mtasema hivihivi kuwa ni ya kusaga wakati anajichanga sasa hivi ananunua vitu kwa pesa yake hamuoni Kusaga mchango wake ni kuwatengeneza vijana yeye au kuwa inspire
.
MUONEENI HURUMA HATA KIDOGO MNAMPA MIZIGO MIKUBWA SANA
 
Ingekua ivyo radio ingekua imesha fungwa ..unajua gharama za tangazo la picha na video pale clouds sio chini ya 2ml
 
Ingekua ivyo radio ingekua imesha fungwa ..unajua gharama za tangazo la picha na video pale clouds sio chini ya 2ml
Amna mkuu acha propaganda, tulipeleka tangazo letu la tatiana cakes tukaambiwa tangazo la sekunde 15 kwa radio ni laki saba kwa mara mbili kwa siku na M 1 mara nne kwa siku isipokuwa kwenye XXL.
.
Na ofa yao ni watangazaji kulizungumzia tangazo hivyo ni almost sekunde 40, kwenye Tv wana bei ndogo sana laki saba la sekunde 30 la picha inayotembea na picha mnato laki tano picha mnato wanaonyesha mara nne ila inayotembea mara tatu, Tv haina viewers wengi.
.
Watu wenye gharama ni ITV na EATV wale hatukurudi tena gharama ya picha mnato kwa tangazo litakaloonekana ITV mara tatu tunatangaza Clouds tv siku tatu na mara nyingi na ukiwapa pesa ndogo Clouds fm hawakatai ila wanaweka sauti ya haraka sana
 
kwa bei hiyo ya laki 7 tangazo linatangazwa siku ngapi nahitaji kujua
 
Ni kwa matangazo yote au??

Tigo,Voda,Cocacola gharama ndo hizohizo??
 
Na ndie alie mpora Aslay mama mtoto wake Tessy.
 

Jamaa unafurahisha sana.
 
Mjini ni mambo ya ku recycle ♻️ tu
 
Huko sijui mkuu nimezungumzia tangazo letu ambalo tulilipeleka Clouds fm na tukachagua liruke wakati wa Leo tena na amplifier.
.
Gharama huongezeka pale wanapokufanyia tangazo wao, ila ukiliunda wewe gharama inakuwa nafuu
Poa mkuu..kuna mtu alitaka kupeleka tangazo hapo,ngoja nimtonye kuwa gharama sio kihivyo,maana alikuwa anaogopa sana
 
N
 
I'm entitled to believe this ila nakuwa na mashaka. Kama kumbu kumbu zangu zipo sawa, kuna kipindi huyu Jembe aliwahi kupromote show ya Dai Mwanza! Kama walikua na ugomvi inakuwaje hapo?
 
Huyu mmakonde wanaomtutumua kuwa asepe wasafi hawatakuwa na mda nae aliondoka, wanachotaka hawa wanaomtutumua ni kumtakia mabaya konde boy.

Anachokipitia rich mavoko kiwe funzo kwa harmonize, kina dokii walimtutumua sana rich mavoko asepe wasafi ila saizi hawana muda nae, mkono mtupu haulambwi!!

Kitu kingine T-shirt mbili zilizofana kila kitu moja unaweza kuuzwa elf 10 ila nyingine kwasababu imetwngenezwa nankampuni yenye brand kubwa kama Gucci inaweza ikauzwa laki 2 na ikanunulika, vivyo hivyo kama ikivyo kwenye hili game kuna wasanii wengi sana wana vipaji vya juu sana lakini hawasikiki ila kuna wasanii wenye vipaji vya kawaida tu ngoma zao zinahit kila Mara kwasababu wanasukumwa na nguvu ya brand.

Harmonize huenda akajiona ana kipaji ila kipaji pakee hakitoshi, Wcb ni brand kubwa ambayo hata msanii akiwa kawaida anavuma, ushahidi tosha ni rich mavoko Leo hii anatoa ngoma Kali tu ila kwasababu kaiacha brand kubwa ya Wcb anaisoma namba saizi.

IGA UFE!!!
 
Anachosema ni kweli kabisa baada ya kutoka clouds akaamzisha ndege insurance then jamaa akaenda kuanzisha hiyo jembe fm kutoka kwa kusaga pia usisahau ana clousdtv rwanda na clouds international dubai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…