Jemedari awaambia Yanga msidhani mkiingiza katimu kenu kataifunga Al Ahl

Wabongo sijui Nan katuloga

US wamesema?
WHO wamesema?
Jiwe kasema?
Kigogo kasema?
Jemedary kasema?

Hivi nyinyi huwa hamna uwezo wa kufikiria mpaka mnawapa watu wawafikirie mambo yenu
 
Ahaa wakasema hata Sisi uto tuliwahi wafunga

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
Nimerudia kusoma hili andiko lako mara mbili, sijaona sehemu yoyote ile timu ya Yanga ikitajwa! Zaidi ya maelezo tu ya jumla jumla ya hiyo Simba kuambiwa ni tofauti na timu nyingine!!

Huna matatizo kweli binafsi na Yanga wewe? Maana nyinyi wafuasi wa Hajji Manara mna akili kama za kwake. Muda wote ni kuimba tu taarab na mipasho.

By the way, ingekua hiyo Simba ina utofauti na timu nyingine, ilikuwaje ifungwe mechi mbili mpaka sasa? Si wangekuwa wanamfunga kila wanaye kutana nae?
 
Wabongo sijui Nan katuloga

US wamesema?
WHO wamesema?
Jiwe kasema?
Kigogo kasema?
Jemedary kasema?

Hivi nyinyi huwa hamna uwezo wa kufikiria mpaka mnawapa watu wawafikirie mambo yenu
Taifa la vilaza, ndiyo maana hata Raisi wao anawajulia sana! Kwa mfano, mataifa yote dunian yanapambana na Corona na kufuata miongozo yote ya kujikinga pamoja na chanjo, huko Tz ugonjwa viongozi wameupa jina lao (changamoto ya upumuaji), hawataki kufuata miongozo ya kimataifa ya kujikinga na chanjo wanaiponda! just imagine how naive and primitive ya wabongo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…