MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Gwiji la uchambuzi wa soka nchini Jemedari Mwana wa Kazumari amesema kutokana na ubobevu wake wa michezo anaamini kwa asilimia 100 kuwa mchezaji Kisinda hatocheza hata mechi moja msimu huu.
Amesema jamii impe muda atakuja kutolea ufafanuzi kauli yake hiyo.
Amesema jamii impe muda atakuja kutolea ufafanuzi kauli yake hiyo.